Nahitaji nyumba ya vyumba vitatu,injitegemee,chumba kimoja master ,jiko,dining.Nyumba inapangishwa Arusha sanawari. bei yake ni shilingi 200,000/= ina vyumba 2 jiko choo bafu store. pia ipo ndani ya fence ina umeme na maji kwa wingi, ni karibu na barabara kuu ya dala dala. kwa mawasiliano zaidi piga namba 0789 543 339. ukifika na kuona ni vizuri zaidi kwani picha haiwezi kujitosheleza. asante