johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,135
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Antipas Lissu amesema hajaona kwenye Mkataba sehemu inayosema Bandari inakodishwa kwa miaka 100
Tundu Lissu alikuwa akihojiwa na Waandishi wa habari
---
"Kwenye document (nyaraka) nilizoziona kuhusu sakata la ukodishwaji wa bandari, sijaona sehemu yoyote inayoeleza kuwa, bandari inakodishwa miaka 100," Tundu Lissu akizungumzia sakata la ukodishwaji wa bandari kwa kampuni ya DP WORLD kwenye mtandao wa clube house
Source: Jambo TV
Tundu Lissu alikuwa akihojiwa na Waandishi wa habari
---
"Kwenye document (nyaraka) nilizoziona kuhusu sakata la ukodishwaji wa bandari, sijaona sehemu yoyote inayoeleza kuwa, bandari inakodishwa miaka 100," Tundu Lissu akizungumzia sakata la ukodishwaji wa bandari kwa kampuni ya DP WORLD kwenye mtandao wa clube house
Source: Jambo TV