Nyumba ndogo pasua kichwa sana

Nyumba ndogo pasua kichwa sana

Hatari sana naona michepuko ni kawaida sasa ivi..yaan uyo atakaeoa mm baadae sijui awe makini kiasi gani nisijue anacheat mana atashuhudia ukurasa mpyaa wa maisha tena soon tu baada ya kujua kuna malaya anahudumiwa nje nayeye..mxeeew inauma jamani.
 
Makubwa yaan unasema hadharan kabisaa una michepuko tena sio mmoja,

Kwan nyie wanaume mnashida gan hasa, usikute unamke mzuriii kuliko hata michepuko yko
Mnaangaika nn? mpate magonjwa muwaletee wake zenu.

Alafu unataka michepuko atulie mbona ww hujatulia na mkeo.
 
Hatari sana naona michepuko ni kawaida sasa ivi..yaan uyo atakaeoa mm baadae sijui awe makini kiasi gani nisijue anacheat mana atashuhudia ukurasa mpyaa wa maisha tena soon tu baada ya kujua kuna malaya anahudumiwa nje nayeye..mxeeew inauma jamani.

Hivi we unafikiri ukijua mwezio anachepuka una kipi cha ziada cha kumfanya?
 
Hivi we unafikiri ukijua mwezio anachepuka una kipi cha ziada cha kumfanya?
Nakwambiaje usalama wenu ni kuoa wamama wa nyumbani tuu mana ndo wanatiaga huruma sana utasikia anasema baba nanii ndo ananiweka mjini kwaio hawi na nguvu ya kusema unavyomuumiza au kuchukua maamuzi magumu mana ni aibu kurudi kwao na hana uwezo kujitegemea..vinginevyo hakuna upuuz utafanyika nikatulia na kukawa na amani..ntachofanya atajua mme wangu kama atakua kilaza nayeye kuacha kusterehesha familia akalee malaya. Sio wote tunaweza kubaki kwenye ndoa zilizokufa ndugu yangu wewe mbka ukaamua kulea mwanamke mwingine nje manaake hamna ndoa apo.

Nakama ni kweli wanaume woye ni vitombi eti ni lazma wasaliti basi ndoa yangu itakufa mapema sanaaaaaaaaa..SANA. sitaki upuuz mm. Kama sifai unasema tuu kiroho safi kwamba mamah eh nilikuoa ila sikujua una tabia hii na hii na haubadiliki, basi kila mtu anafanya yake unakua na uhuru wa kumleta kwako uyo malikia mchepuko.
 
Ila wakuu tuache utani. Maisha ya ndoa bila mchepuko hayaendi kabisa kwakweli. Yaani nimegundua ukitaka ndoa yako idumu na iwe yenye amani na furaha, hakikisha hukosi angalau michepuko miwili nje.
😆😆😆😆😆 we unafikili mjapani alikuwa kichaa kutengeneza kitairi kidogo cha njano kwenye buti.

Kaa humo.
 
Umpatie kila kitu wewe umekuwa nani ikiwa Mungu tu hakupi kila kitu.

Nyie mafurushi tulieni na wake zenu mjenge familia zenu. Mnajitafutia wenyewe laana halafu mtakuja kutafuta mchawi nani.
Pathetic.
 
Umpatie kila kitu wewe umekuwa nani ikiwa Mungu tu hakupi kila kitu.

Nyie mafurushi tulieni na wake zenu mjenge familia zenu. Mnajitafutia wenyewe laana halafu mtakuja kutafuta mchawi nani.
Pathetic.
Huu mchezo hautaki hasira..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom