Nyumba ndogo pasua kichwa sana

Nyumba ndogo pasua kichwa sana

BLUE BALAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
1,222
Reaction score
786
Mimi nimeo ila nimejaribu pia kuwa na nyumba ndogo kipindi chote cha miaka 20 ya ndoa yangu. Kitu kimoja kimenishangaza hawa michepuko huwa lazima a cheat tu hata kama unampatia kila kitu.

Na nimeona hata kwa wenzangu nao wana shida hizo hizo na michepuko yao. Nimejaribu wasichana below 30 tabia ni hizo hizo, nimejaribu ma single mother over 35 nao tabia ni hizo hizo. Hivi nyie michepuko tuwafanyie nini ili mtulie?
 
Kama ni dawa hili bwata digitali/
Nikiwa nawe huwa nawaza sifiki mbali/
Kwa kuwa siihudumii nyumba kubwa ina nyufa/
Ndo maana nyumba ndogo ni Imara kuliko Kubwa/

DIZASTA VINA
 
Mimi nimeo ila nimejaribu pia kuwa na nyumba ndogo kipindi chote cha miaka 20 ya ndoa yangu. Kitu kimoja kimenishangaza hawa michepuko huwa lazima a cheat tu hata kama unampatia kila kitu. Na nimeona hata kwa wenzangu nao wana shida hizo hizo na michepuko yao. Nimejaribu wasichana below 30 tabia ni hizo hizo, nimejaribu ma single mother over 35 nao tabia ni hizo hizo. Hivi nyie michepuko tuwafanyie nini ili mtulie????
ww mwenyewe umechepukia kwake sasa unashangaa nn na yeye kuchepuka pengine ?
 
Mimi nimeo ila nimejaribu pia kuwa na nyumba ndogo kipindi chote cha miaka 20 ya ndoa yangu. Kitu kimoja kimenishangaza hawa michepuko huwa lazima a cheat tu hata kama unampatia kila kitu. Na nimeona hata kwa wenzangu nao wana shida hizo hizo na michepuko yao. Nimejaribu wasichana below 30 tabia ni hizo hizo, nimejaribu ma single mother over 35 nao tabia ni hizo hizo. Hivi nyie michepuko tuwafanyie nini ili mtulie????
Mimi ndo maana nikaamua kujenga tu nyumba moja kubwa kuepusha lawama za kuwa na tunyumba nyumba na pia kulinda matumizi bora ya ardhi ili pia nipate sehemu ya kulima mboga mboga!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom