Nyumba moja wapangaji wengi

Nyumba moja wapangaji wengi

hayo mambo yapo sana Tandale, Buguruni, Temeke, Manzese, Mbagala, Tabata na kulee na kulee na kulee..............
 
Nyumba za wapangaji wengi ndiyo mm nazipenda kwa KUPIGA CHABO wapangaji wenzangu hasa usiku!

I like wapangaji wengi

hahaha! Khaaa! Unakula ugali kwa picha ya samaki c ndiyo? We mkali!!
 
bafu lipo nje, bidada anatoka na kanga huku ameloa maji kwenda kusugua mguu kwenye jiwe nje, mi nimesmama tu namuangalia huku akijisugua....dah!

Alafu msambwanda bonge la vibration...hapo nikujitoa fahamu na kuomba utamu tuu.
 
Back
Top Bottom