Wana JF,Inahitajika nyumba kwa ajili ya ofisi yenye sifa zifuatazo/zinazokaribiana na hizi hapa chini:1. Iwe Dar es Salaam maeneo ya Kinondoni/Mikocheni/Mwenge au Sinza.2. Iwe na uwezo wa kutumiwa na watumishi (staff) 20 na kuendelea.3. Iwe na eneo la kutosha kuegesha magari 10 na kuendelea.4. Iwe sehemu inayofikika kirahisi.5. Mmiliki awe tayari kwa mkataba wa muda mrefu (Miaka 5 na kuendelea).