Wanabodi
nina nyumba yangu moja naiuza. Kwa kuwa ramani yake ni ghorofa moja,mimi nimeijenga mpaka kwenye slub (nimemwaga zege la juu) hivyo bado kumalizia ghorofa ya juu. Kibanda cha mlinzi cha kisasa kipo tayari. Ina hati miliki
nyumba ipo madale njia panda ya nguzo, ni hatua 20 kutoka barabara kuu
bei ni maelewano. Picha za ilipofikia nimeziambatanisha
kwa mteja serious asisite kuwasiliana nami kwa namba ya simu 0767 876086
nina nyumba yangu moja naiuza. Kwa kuwa ramani yake ni ghorofa moja,mimi nimeijenga mpaka kwenye slub (nimemwaga zege la juu) hivyo bado kumalizia ghorofa ya juu. Kibanda cha mlinzi cha kisasa kipo tayari. Ina hati miliki
nyumba ipo madale njia panda ya nguzo, ni hatua 20 kutoka barabara kuu
bei ni maelewano. Picha za ilipofikia nimeziambatanisha
kwa mteja serious asisite kuwasiliana nami kwa namba ya simu 0767 876086