Wadau wenzangu, nyumba inayoonekana hapa ni ya vyumba vitatu (viwili ni master rooms) ina sebule kubwa, dining, car park, public toilet, jiko, store mbili na ina eneo kubwa (linaweza kulimwa mbogamboga) haina fence, bei laki mbili (200,000/tsh) kwa mwezi, kwa mwenye huhitaji tuwasiliane 0754 481519.