ZaBeast
JF-Expert Member
- Aug 17, 2015
- 777
- 332
cheersMkuu niliona nimalize vyote ndo nije kwenye umeme. Mwezi ujao ndo naanza kufatilia, ulinzi upo vizuri, maana majirani sijasikia wakilalamika, gari linafika hadi mlangoni, na sio mbali kutoka barabara ya mbexi goba, ni kama dakika kumi kufika