Nyumba inapangishwa 150,000

Nyumba inapangishwa 150,000

Dah we jamaa umenifanya nicheke, hiyo nimejenga kwa ajili ya kupangisha, wewe nipe ushauri naweza kupangisha kwa kiais gani kwa sasa kabla ya umeme.Ila hautochukua mda
50,000/= kwa usawa wa Dr Magufuli
 
Wakuu heshima zenu.
Kama thread inavyosema, nyumba ina sifa zifuatazo
-Vyumba vitatu, kimoja master
-Dinning, sitting room
-Jiko na choo cha jumuia
-Choo cha nje
-Ina sifa zingine, isipokuwa umeme bado kuunganisha, ipo mbioni
-Fence imeanza kujengwa
-Nyumba ipo freetown, njia ya kwenda goba, karibu na kwa mbunge mstaafu

Karibuni wadau
Not bad chief isipokuwa ungelezea kwanini umeme bado au ni kwamba wataka mtu alipie kwanza ndiyo umeekee umeme?

Kitu ingine ipo accessible?

Ushauri mwingine check securityof the place etc so far siyo mbaya...
Jaribu ku post zoom tanzania pia ila put clear details
 
Hahahaha wewe Naona ht bando umelipiwa na makene
Never, mifuko yangu imetuna kama vipi, njoo hapa viva park tabata nikuwezeshe!!
Nitakulipia teksi au kama una passo nitakuwekea mafuta...
 
Not bad chief isipokuwa ungelezea kwanini umeme bado au ni kwamba wataka mtu alipie kwanza ndiyo umeekee umeme?

Kitu ingine ipo accessible?

Ushauri mwingine check securityof the place etc so far siyo mbaya...
Jaribu ku post zoom tanzania pia ila put clear details
Mkuu niliona nimalize vyote ndo nije kwenye umeme. Mwezi ujao ndo naanza kufatilia, ulinzi upo vizuri, maana majirani sijasikia wakilalamika, gari linafika hadi mlangoni, na sio mbali kutoka barabara ya mbexi goba, ni kama dakika kumi kufika
 
Never, mifuko yangu imetuna kama vipi, njoo hapa viva park tabata nikuwezeshe!!
Nitakulipia teksi au kama una passo nitakuwekea mafuta...
Kumbe mtu mwenyewe waishi tabata? Karibu kwangu mikocheni B
 
Kumbe mtu mwenyewe waishi tabata? Karibu kwangu mikocheni B
Wewe pimbi pimbi kweli..! Nimekuambia njoo tabata wewe jinsi ulivyo fara unakariri fasta,
Wanaoishi mikocheni hawajitatangazi, hata kama unaishi mikocheni basi kwa mjomba wako!!
Na kuishi mikolcheni siyo ujanja wala kuwa na hela...
Sitakagi exponsure za kijinga kama hizo unazotaka kuleta...
 
Wewe pimbi pimbi kweli..! Nimekuambia njoo tabata wewe jinsi ulivyo fara unakariri fasta,
Wanaoishi mikocheni hawajitatangazi, hata kama unaishi mikocheni basi kwa mjomba wako!!
Na kuishi mikolcheni siyo ujanja wala kuwa na hela...
Sitakagi exponsure za kijinga kama hizo unazotaka kuleta...
Wewee Ndiyo umeanza kujionesha mifuko Umetuna na wakaa Tabata boya kabisa wakuapuaji wa bandari make majizi wote bongo mapango yao tbt
 
Wewee Ndiyo umeanza kujionesha mifuko Umetuna na wakaa Tabata boya kabisa wakuapuaji wa bandari make majizi wote bongo mapango yao tbt
kwa taarifa yako huko bandarini sipo, nina mambo yangu halali na ninalipa kodi...
Njoo tujumuike sote mkuu, sihitaji uadui na wewe...
 
umeme ni tsh 320,000 kama nguzo ipo karibu, na unachukua not more than 2 weeks..
sasa una mali yote hiyo afu unasema laki 3 ya umeme inaku slow down??
 
vaikukifatilia st: 19046996 said:
umeme ni tsh 320,000 kama nguzo ipo karibu, na unachukua not more than 2 weeks..
sasa una mali yote hiyo afu unasema laki 3 ya umeme inaku slow down??
Mkuu naanza kufatilia mwaka mpya.Tatizo nilitaka kuipotezea kidogo, ila nimepata nguvu baada ya kujua ntapata mpangaji wa kiwango gani.
 
NEXTLnkakuambia.: 19047276 said:
Mkuu hujanipa taarifa utakuwa around nijekuona?
Tutaongea hilo la umeme cha msingi nione
Kisha mengine tutajadili baada ya hapo.[/QUOTE]
Usijali mkuu ntakuambia.Nipo nje ya dar kwa kipindi hiki, mwezi ujao ntakuja huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom