Nyumba inapangishwa 150,000

Nyumba inapangishwa 150,000

Mkuu wadau wameniambia 80 to 100, sasa hapo si nitakosa mpangaji, maana hiyo 150 wadau wamekataa, sasa 180 tena. Hebu nifafanulie
Inategemea unaongea na wadau wa hali gani..unaweza weka mpaka 200,000/= na wakapatikana wa kuja kupanga..chagua unataka daraja gani la wapangaji unao wataka hawa wapangaji wa cheap cheap wanasumbua sana wakati wa malipo.
 
Inategemea unaongea na wadau wa hali gani..unaweza weka mpaka 200,000/= na wakapatikana wa kuja kupanga..chagua unataka daraja gani la wapangaji unao wataka hawa wapangaji wa cheap cheap wanasumbua sana wakati wa malipo.
Mkuu kusema kweli sijatafuta dalali, nimeona niombe ushauri hapa kwa wanajf wenzangu kwanza, si umeona ushauri niliopata wa hapa jf. Ila asante kwa kunipa moyo, maana nilitaka niipotezee kwanza, niendelee na mambo mengine
 
Mkuu nakushauri hivi;
1.Malizia nyumba yako kwa kuweka umeme.
2.Unganisha maji.
3. Malizia fensi.
4. Ukimaliza yote hayo utakua na uwezo wa kukodisha kuanzia 250k-350k.
 
Mkuu kusema kweli sijatafuta dalali, nimeona niombe ushauri hapa kwa wanajf wenzangu kwanza, si umeona ushauri niliopata wa hapa jf. Ila asante kwa kunipa moyo, maana nilitaka niipotezee kwanza, niendelee na mambo mengine
Watakuja wenyewe usiogope wewe wawekee contacts zako...January hii
 
Nimefikiria na kwa dhati ya moyo wangu, kwa sasa napangisha kwa laki moja tu, umeme ni baada ya mwezi au miwili, baada ya hapo ntapangisha kwa laki unusu tu. Ofa ya miezi sita kwa laki tu. Namna ya kulipana sina kizuizi ni makubaliano na mpangaji, umeme naahidi baada ya mwezi au miwili.
 
Mkuu nakushauri hivi;
1.Malizia nyumba yako kwa kuweka umeme.
2.Unganisha maji.
3. Malizia fensi.
4. Ukimaliza yote hayo utakua na uwezo wa kukodisha kuanzia 250k-350k.
Asante mkuu kwa ushauri wako, ila kuna sehemu nilianza ujenzi nikaacha, nkaendelea na hapo, sasa kule kodi yake imekuwa tamu, nataka nidili na huko ndo nirudi hapo kwa mengine, ila umeme ntaweka
 
Chukua ushauri wa kumaliza kwanza then ukudi naiman utakuja na price yako mwenyewew
 
Chukua ushauri wa kumaliza kwanza then ukudi naiman utakuja na price yako mwenyewew
Nakubali mkuu,ila watu tunatishana, nami nimeingia woga, bora nipate kodi mbili, nitarudi tu hapo,baada hukokwengine kodi imekuwa nzuri, na majukumu yanazidi
 
Weka Umeme,malizia fense utapata laki 3 kwa mwezi.
 
Isije ikawa wewe ni dalali?
Kwa maelezo yako hiyo nyumba ikishakuwa na umeme, mpangaji utapata hata zaidi ya laki2, kamilisha hilo kwanza hakuna mtu wa kutumia mishumaa na vibatari mjini kwa sasa...
 
Isije ikawa wewe ni dalali?
Kwa maelezo yako hiyo nyumba ikishakuwa na umeme, mpangaji utapata hata zaidi ya laki2, kamilisha hilo kwanza hakuna mtu wa kutumia mishumaa na vibatari mjini kwa sasa...
Mkuu kuna mwana jf ananijua vizuri, ndio aliniuzia hicho kiwanja, na tangia naanza ujenzi anafahamu, hadi hapo ilipofikia.Siwezi kudalalia kitu
 
Isije ikawa wewe ni dalali?
Kwa maelezo yako hiyo nyumba ikishakuwa na umeme, mpangaji utapata hata zaidi ya laki2, kamilisha hilo kwanza hakuna mtu wa kutumia mishumaa na vibatari mjini kwa sasa...
Hilo liko mbioni mda si mrefu
 
Mkuu kuna mwana jf ananijua vizuri, ndio aliniuzia hicho kiwanja, na tangia naanza ujenzi anafahamu, hadi hapo ilipofikia.Siwezi kudalalia kitu
Ok, sikuwa na nia mbaya mkuu!
Btw weka umeme, believe haitachukua wiki utapata mpangaji kwa bei nzuri!
 
Mkuu weka na picha,ukimaliza kuweka umeme na fense nakutafutia mteja fasta.
Asante mkuu ila hapo kwa ninavyojua siwezi pata zaidi ya laki mbili, kwa ufahamu wangu. Ndio maana nataka hizo hela za fensi si chini ya mbili, ili iwe bora nizipeleke huko kwengine ambapo nikiongezea kidogo namaliza na nakunja 150,000 kwa mwezi, maana yenyewe ni ndogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom