Nyumba inapangishwa 150,000

Nyumba inapangishwa 150,000

Ok, sikuwa na nia mbaya mkuu!
Btw weka umeme, believe haitachukua wiki utapata mpangaji kwa bei nzuri!
Asante mkuu ndio naanza mchakato baada ya mwaka mpya na huko ni REA ndio saivi wapo nina imani haitachukua muda mrefu
 
Dah we jamaa umenifanya nicheke, hiyo nimejenga kwa ajili ya kupangisha, wewe nipe ushauri naweza kupangisha kwa kiais gani kwa sasa kabla ya umeme.Ila hautochukua mda
Labda fanya 70,000 kwa mwaka, watu wanaweza kufikiria kuja huko, mkuu.
 
....achana na habari za kupangisha,laki kwa miezi 6..,tena namna ya kulipana huna tatizo?.
..sheikh hiyo miezi 6 mingi saaaana ukipata mpangaji asiethamini cha mtu;utakuja lia nakwambia!
 
....achana na habari za kupangisha,laki kwa miezi 6..,tena namna ya kulipana huna tatizo?.
..sheikh hiyo miezi 6 mingi saaaana ukipata mpangaji asiethamini cha mtu;utakuja lia nakwambia!
Nimekupata mkuu
 
Mwenzio nimemshauri afanye elf 70 kwa mwaka.
Yaani ndani kote huko mtu apange sehemu isiyo na umeme kwa bei hiyo?
Anyway, tunatofautiana mitazamo.
Mkuu kweli ni ndani, ila sio hivyo unavyoomanisha wewe. Ungekuwa unapafahamu vizuri, na usafiri wa uhakika upo
 
Wakuu heshima zenu.
Kama thread inavyosema, nyumba ina sifa zifuatazo
-Vyumba vitatu, kimoja master
-Dinning, sitting room
-Jiko na choo cha jumuia
-Choo cha nje
-Ina sifa zingine, isipokuwa umeme bado kuunganisha, ipo mbioni
-Fence imeanza kujengwa
-Nyumba ipo freetown, njia ya kwenda goba, karibu na kwa mbunge mstaafu

Karibuni wadau
Hiyo Nyumba INA Kodi ngapi kuna MTU katuma kodi 100000/ wewe kodi 150000/ tushike ipi
 
[QUmwamba EXTLEVEL, post: 19018480, member: 67229"]Nimeona 100 naona 150 tena?[/QUOTE]
Ni kwamba baada ya ushauri ndio nikaanzisha topic nyingine kwa 100000 ili kuipa uzito
 
Jodi TE="ngivingivi, post: 19030535, member: 133900"]Hiyo Nyumba INA Kodi ngapi kuna MTU katuma kodi 100000/ wewe kodi 150000/ tushike ipi[/QUOTE]
Kodi moja 100000 baada ya ushauri
 
[QUmwamba EXTLEVEL, post: 19018480, member: 67229"]Nimeona 100 naona 150 tena?
Ni kwamba baada ya ushauri ndio nikaanzisha topic nyingine kwa 100000 ili kuipa uzito[/QUOTE]
Mimi nije kesho kuiona mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom