Unaanza maisha umepata zari la kuzawadiwa kimoja, gari au nyumba, unachagua kipi??
kombaME JF-Expert Member Aug 24, 2015 1,994 2,000 Dec 12, 2017 #1 Unaanza maisha umepata zari la kuzawadiwa kimoja, gari au nyumba, unachagua kipi??
The Messenger JF-Expert Member Jul 2, 2014 1,527 2,000 Dec 12, 2017 #2 Unamuongelea Zari boss lady au?
Ndetirima JF-Expert Member Oct 4, 2011 957 1,000 Dec 12, 2017 #3 Huwezi kulinganisha nyumba na Gari. Gari thamani yake inashuka kila kukicha wakati Nyumba inapanda kutokana na kiwanja kutokushuka thamani. Nyumba ndio mpango mzima.
Huwezi kulinganisha nyumba na Gari. Gari thamani yake inashuka kila kukicha wakati Nyumba inapanda kutokana na kiwanja kutokushuka thamani. Nyumba ndio mpango mzima.
MWEN JF-Expert Member Apr 19, 2012 211 250 Dec 12, 2017 #5 Numbisa said: Ntachagua nguo Click to expand... Kwa sababu gari na nyumba unavyo JF raha
mng'ato JF-Expert Member Oct 27, 2014 28,599 2,000 Dec 16, 2017 #6 Jenga nyumba ibomolewe kama TANESCO Ubungo
Msambwata JF-Expert Member Nov 20, 2017 1,307 2,000 Dec 17, 2017 #8 Kwa kuzawadiwa nachagua mjengo ila kwa jasho langu naanza na gari mkuu kuepuka kero za majasho