Habari wana Jamvi,
Naombeni msaada kwa wale wanaojua mambo ya nyota.
Nina rafiki yangu ameanza kusali kanisa fulani maarufu hapa mjini, alipoenda kanisani mchungaji akamuombea akamwambia kuna ndugu zake wamechukua nyota yake na kuiuza kampuni ya Toyota Japani.
Yani amechanganyikiwa anahisi toyota wanauza magari kwa nyota yake. Eti hii uongo kitu inawezekana kweli? Mi naona kama ni uongo fulani wa kumfanya aende kanisa hilo daily je inawezekana kwa nyota ya mtu kuuzwa?
Tena kwa kampuni kubwa ivo kutoka kwa mtanzania wa kawaida hajulikani hata mtaani kwao? Mnaojua habari za nyota tafadhali nisaidieni kulifumbua hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni msaada kwa wale wanaojua mambo ya nyota.
Nina rafiki yangu ameanza kusali kanisa fulani maarufu hapa mjini, alipoenda kanisani mchungaji akamuombea akamwambia kuna ndugu zake wamechukua nyota yake na kuiuza kampuni ya Toyota Japani.
Yani amechanganyikiwa anahisi toyota wanauza magari kwa nyota yake. Eti hii uongo kitu inawezekana kweli? Mi naona kama ni uongo fulani wa kumfanya aende kanisa hilo daily je inawezekana kwa nyota ya mtu kuuzwa?
Tena kwa kampuni kubwa ivo kutoka kwa mtanzania wa kawaida hajulikani hata mtaani kwao? Mnaojua habari za nyota tafadhali nisaidieni kulifumbua hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
