ungeeleza kuwa anazungumzia jinsi ya kuondoa umaskini kwa watanzania ningekusifu watu wake vijijini iramba wanalia njaa na elimu duni akawasaidie wapiga kura si malumbano kila moja anatoa mawazo yake kwa kutumia haki za kikatiba .na aondoe e umaskini ndani ya nchi yetu cdm iko vizuri sana waendelee kupambana sana je kupisha fedha za ulaji ni kutetea maslahi ya watanzania au nini?