Nyota ya Kikwete yazidi kung'ara. Ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tuzo ya Chakula Afrika/AFP

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,117
49,840
Kudos Wadau.

Ukipewa na Mungu umepewa tuu no way out nyota yako itafifia..

Rais mstaafu wa awamu ya 4 wa Tanzania na Mwanadiplomasia mashuhuri wa Afrika Jakaya Mrisho Kikwete ameteuliwa na WFP kuwa Mwenyekiti wa Tuzo ya Chakula Afrika (AFP) inayoratibiwa na kutolewa na Africa's Food Systems Forum (AGRF) akipokea kijiti kutoka kwa Rais mstaafu wa Nigeria, Obasanjo.

Hii inakuwa ni taasisi yake ya 5 kuiongoza au kuwa mjumbe wake kwa ngazi ya Kimataifa na Kitaifa hata baada ya Kustaafu Urais.

Hadi Sasa JK ni Mwenyekiti au Mjumbe wa Taasisi zifuatazo:

-Tuzo ya Chakula Afrika AFP- Mwenyekiti Mpya

-Sadc Panel of Elders(PoE)-Mwenyekiti

-High Level Commission (HLC) on IPCD25-Mwenyekiti Mwenza

-Global Partnership for Education Board -Mwenyekiti Mwenza

-University of Dar es Salaam-Chancellor

-AGRA/Sadgot Africa -Board Member

-Jakaya Mrisho Kikwete Foundation

Aidha, amewahi kuwa mjumbe maalumu wa Umoja wa Afrika na UN kwenye kushughulikia amani ya Libya, Kiongozi wa jopo la uangalozi wa uchaguzi wa EAC Kenya,SADC Zambia na Angola nk.

Hongera sana JK Kwa kuendelea kuaminiwa kwenye uga wa Kimataifa na kulitangaza Jina la Tanzania kwenye mambo mazuri kama Nyerere,Mkapa na Samia tofauti na yule aliyeturudisha nyuma.

Angalizo,Mods msibadili Heading
Screenshot_20230217-214121.jpg

View attachment 2521141
 
JK ni moja ya viongozi wa hovyo tuliowahi kupata Tanzania.

Kama alivyosema jana Dr. Mollel wa wizara ya afya kwamba Tanzania wajinga ni wengi, ndio matokeo yake utakuta wajinga wengi wanamsifu JK bila kujua kua he is the worst president to ever lead this beautiful country.

Hao wanaomteua teua wanamlipa fadhila kwa mema aliyowafanyia ama fursa alizowapa Tanzania.

Wazungu ukiwafanyia mema, I mean ukiwapa fursa ya kutafuna nchi yako, watakupamba hadi kwenye vyumba vyao wa kulala, media zao kila siku itakua ni kukusifia, ila deep down ni kwamba hayo hawayafanyi bure.

Anyway, kwa kua Tanzania bado ujinga ni tatizo kubwa hakuna namna.
 
JK ni moja ya viongozi wa hovyo tuliowahi kupata Tanzania.

Kama alivyosema jana Dr. Mollel wa wizara ya afya kwamba Tanzania wajinga ni wengi, ndio matokeo yake utakuta wajinga wengi wanamsifu JK bila kujua kua he is the worst present to ever lead this beautiful country.
Unajihangaisha Bure Mzee



 
JK ni moja ya viongozi wa hovyo tuliowahi kupata Tanzania.

Kama alivyosema jana Dr. Mollel wa wizara ya afya kwamba Tanzania wajinga ni wengi, ndio matokeo yake utakuta wajinga wengi wanamsifu JK bila kujua kua he is the worst present to ever lead this beautiful country.

Hao wanaomteua teua wanamlipa fadhila kwa mema aliyowafanyia ama fursa alizowapa Tanzania.

Wazungu ukiwafanyia mema, I mean ukiwapa fursa ya kutafuna nchi yako, watakupamba hadi kwenye vyumba vyao wa kulala, media zao kila siku itakua ni kukusifia, ila deep down ni kwamba hayo hawayafanyi bure.

Anyway, kwa kua Tanzania bado ujinga ni tatizo kubwa hakuna namna.
Kwamba AFP ni ya wazungu tuamini hivyo? Usipothamini chako una matatizo
 
Kuna mpuuzi mmoja alimfananisha na babu tale tale tulipokua kwenye mjadala wa PhD ya heshima kwamba tale deserves more than H.E JK
 
Kwamba AFP ni ya wazungu tuamini hivyo? Usipothamini chako una matatizo
Usichokielewa ni kwamba organization karibu zote Afrika zinafadhiliwa na Wazungu hivyo kwenye background wazungu ndio wanaamua.

Kwa mfano, ukisikia African Development Bank unaweza kufikiri inamilikiwa 100% na waafrika, sio? Kasome shareholding structure yake ndio utaelewa.

African Food Prize ni mali ya Norway.
Screenshot_20230218_075430_Chrome.jpg
 
Anarukaruka tu huyo fisadi lakini kibano kiko palepale. Mungu ameshaamua. Damu na roho za watu wa Mungu hapa tanganyika zinamngojea kila siku mlangoni kwake. Kwa nje anajichekeleshachekelesha ila moyoni ana uchungu na anavuja damu
 
Kudos Wadau.

Ukipewa na Mungu umepewa tuu no way out nyota yako itafifia..

Rais mstaafu wa awamu ya 4 wa Tanzania na Mwanadiplomasia mashuhuri wa Afrika Jakaya Mrisho Kikwete ameteuliwa na WFP kuwa Mwenyekiti wa Tuzo ya Chakula Afrika (AFP) inayoratibiwa na kutolewa na Africa's Food Systems Forum (AGRF) akipokea kijiti kutoka kwa Rais mstaafu wa Nigeria, Obasanjo.

Hii inakuwa ni taasisi yake ya 5 kuiongoza au kuwa mjumbe wake kwa ngazi ya Kimataifa na Kitaifa hata baada ya Kustaafu Urais.

Hadi Sasa JK ni Mwenyekiti au Mjumbe wa Taasisi zifuatazo:

-Tuzo ya Chakula Afrika AFP- Mwenyekiti Mpya

-Sadc Panel of Elders(PoE)-Mwenyekiti

-High Level Commission (HLC) on IPCD25-Mwenyekiti Mwenza

-Global Partnership for Education Board -Mwenyekiti Mwenza

-University of Dar es Salaam-Chancellor

-AGRA/Sadgot Africa -Board Member

-Jakaya Mrisho Kikwete Foundation

Aidha, amewahi kuwa mjumbe maalumu wa Umoja wa Afrika na UN kwenye kushughulikia amani ya Libya, Kiongozi wa jopo la uangalozi wa uchaguzi wa EAC Kenya,SADC Zambia na Angola nk.

Hongera sana JK Kwa kuendelea kuaminiwa kwenye uga wa Kimataifa na kulitangaza Jina la Tanzania kwenye mambo mazuri kama Nyerere,Mkapa na Samia tofauti na yule aliyeturudisha nyuma.

Angalizo,Mods msibadili Heading View attachment 2521119
View attachment 2521141
Naunga mkono hoja, big up sana JK!
P
 
Back
Top Bottom