py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,471
- 4,424
Klabu ya simba sc itashuka dimbani kumenyana na kagera sugar.Mechi hii inaweza kuwa na mvuto wa aina yake sababu msimu uliopita simba sc walipoteza point 3 kutoka kwa kagera na hivyo kupoteza matumaini ya kuchukua ubingwa na hadi kufikia viongozi wa simba kuandika barua Fifa kudai point 3.
Tukio la pili linawakutanisha beki katili Juma Nyosso na mshambuliaji John Bocco. Battle hii pia itavutia sana.
Tukio la pili linawakutanisha beki katili Juma Nyosso na mshambuliaji John Bocco. Battle hii pia itavutia sana.