Elifuraha Bussism
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 210
- 127
Nilikuwa naaikiaga kuwa mkulu hapendi watumishi wa Umma sasa nimeamini kwamba ni kweli wafanyakazi hatupemdwi!
Najiongeza sasa ktk kilimo na ufugaji ili nisomeshe wanangu wasijekufa kwa umaskini wa hawa jamaa!
Aibu tupu serikali hii.
Najiongeza sasa ktk kilimo na ufugaji ili nisomeshe wanangu wasijekufa kwa umaskini wa hawa jamaa!
Aibu tupu serikali hii.