kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,682
- 3,066
Kwenye mikataba ya ajira suala la nyongeza ya mishahara kwa mwaka lipo wazi kabisa.
Mtumishi anatakiwa kubadilika toka kiwango kimoja kwenda kingine kila mwaka.
Mfano toka tgts c1 kwenda tgts c2 mwaka unaofuata.
Siku hizi jambo hili halifanyiki na matokeo yake hakuna tofauti ya mshahara kati ya mtumishi aliyeanza kazi mwaka juzi na aliyeanza leo.
Nini sababu za kuondoa hizo increaments? Katika mikataba imeelezwa kuwa mtumishi atanyimwa increament endapo amefanya makosa?
Je tunaonyimwa tumefanya makosa yapi?
Wadau naombeni ufafanuzi.
Mtumishi anatakiwa kubadilika toka kiwango kimoja kwenda kingine kila mwaka.
Mfano toka tgts c1 kwenda tgts c2 mwaka unaofuata.
Siku hizi jambo hili halifanyiki na matokeo yake hakuna tofauti ya mshahara kati ya mtumishi aliyeanza kazi mwaka juzi na aliyeanza leo.
Nini sababu za kuondoa hizo increaments? Katika mikataba imeelezwa kuwa mtumishi atanyimwa increament endapo amefanya makosa?
Je tunaonyimwa tumefanya makosa yapi?
Wadau naombeni ufafanuzi.