Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 13,641
- 29,918
Usivute bhangi asubuh wakat wa kwenda kazin ikifika mchana na lile jua kali unaweza ota lolote lile. Jamaa mmoja ye aliota amegeuka kuku mtetea anataga mayai.
Pia umeuliza we ni nani.utakuwa nyoka tu. Unatabia ya kuwasema vibaya wenzio.upo kama nyoka unawagonga visiginoni. Huna utu ,huna ubinadamu.
Usivute bhangi asubuh wakat wa kwenda kazin ikifika mchana na lile jua kali unaweza ota lolote lile. Jamaa mmoja ye aliota amegeuka kuku mtetea anataga mayai.
Pia umeuliza we ni nani.utakuwa nyoka tu. Unatabia ya kuwasema vibaya wenzio.upo kama nyoka unawagonga visiginoni. Huna utu ,huna ubinadamu.
1. Ilikuwa jumapili na sifanyi kazi jumamosi wala jumapili.
2. Sivuti bangi wala sigara.
Kuhusu kuwasema watu
View attachment 371511
Kama unaweza mkuu nipe tafsiri yako wewe kwanzaHiyo ndoto ina ujumbe ndani yake, thus why ulirudi mara ya pili kuwaangalia wale njiwa na kukuta bado ni Kunguru ikimaanishwa ujumbe wa hiyo ndoto utatimizwa kwa hakika na haraka, mwombe Mungu akupe tafsiri.
Kuna vitu upo au soon utakua on progress unavitaka kwa kuona vitakusaidia (njiwa) na huvitafuti au hutovitafuta kiuhalali sana kivile (nyoka) , lakini sivyo hivo unavovidhania ,havibebeki (kunguru) vitakusumbua.Kama unaweza mkuu nipe tafsiri yako wewe kwanza
Asante sana aretasludovickSwali la muhimu! "yeye ni nani"?
Ok, Apollo ana jibu la hili swali
Umetumia lugha ngumu sana mkuu,Kuna vitu upo au soon utakua on progress unavitaka kwa kuona vitakusaidia (njiwa) na huvitafuti au hutovitafuta kiuhalali sana kivile (nyoka) , lakini sivyo hivo unavovidhania ,havibebeki (kunguru) vitakusumbua.
Anyway labda itakua ina maana fulani, kutafsiri ndoto kunahitaji elimu yake. Ukiota nyoka maana yake ni ADUI au UBAYA me naweza kusema labda wewe upo katika namna fulani ambayo sio NZURI au SAHIHI na pengine unatarajia kupata kitu fulani au matokeo fulani huyatakayo lakini kumbe ni tofauti na hali halisi
Hapana Mkuu Echolima,nyoka ni adui tu. Huyo kwenye picha wapo wachache tena wamezubaishwa tu,katika uasili wake hupigi nae picha kiivo.Nani alikudanganya kuwa ukiota nyoka ni Adui??Nyoka si Hatari au adui wa mwanadamu nyoka ni rafiki mkubwa wa mwanadamu wazungu tu wametuchonganishaView attachment 371634View attachment 371635View attachment 371636View attachment 371637
Mi kusema kweli ndo nimesikia wadau wakisema kwenye uzi huu huu kuwa nyoka ni adui, ila mi najua nyoka kama ilivyo kwa wadudu na wanyama wengine hana tatizo na hawezi kukugonga mpaka umchokoze sasa sijui kwa undani kuhusu huo uaduiNani alikudanganya kuwa ukiota nyoka ni Adui??Nyoka si Hatari au adui wa mwanadamu nyoka ni rafiki mkubwa wa mwanadamu wazungu tu wametuchonganishaView attachment 371634View attachment 371635View attachment 371636View attachment 371637
Mi kusema kweli ndo nimesikia wadau wakisema kwenye uzi huu huu kuwa nyoka ni adui, ila mi najua nyoka kama ilivyo kwa wadudu na wanyama wengine hana tatizo na hawezi kukugonga mpaka umchokoze sasa sijui kwa undani kuhusu huo uaduiNani alikudanganya kuwa ukiota nyoka ni Adui??Nyoka si Hatari au adui wa mwanadamu nyoka ni rafiki mkubwa wa mwanadamu wazungu tu wametuchonganishaView attachment 371634View attachment 371635View attachment 371636View attachment 371637