mkomatembo
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 1,477
- 816
ni kweli, lakini sikuona mantiki ya kusema una nyoka nyumbani ufanyenye kwenye mtandao, unless hujawahi kuishi tanzania.... hivi kweli kwenye emergency kama ya nyoka unaanza kuingia mtandaoni kurusha sredi???
we have to be realistic dude.... mimi nadhani nimekupa ushauri mzuri sana, huna majirani??? JF jaiwezi kumtoa huyo nyoka nyumbani kwako
kama ungekua sirias basi ungesema hata nyumba ikoje, some kind of insight ili watu wakuambie bana kulia, pulizia this on that wall etc
Lakini wamempa ushauri na hatimae nyoka ametoka na sasa amepumua . JF NI ZAIDI YA DARASA kwa kweli !!!