Nyoka kutikisa mkia huashiria nini?

Nyoka kutikisa mkia huashiria nini?

Aisee kumbe maisha magumu na mawazo ya ajira ni kwangu tu , yaan mtu hadi anapata kuwaza kutaka kujua nyoka akitikisa mkia anamanisha nini ee mungu nibariki na nipunguzie ugumu wa maisha nami sku moja nije na thread ya kwann kinyonga anatembea pole pole
maringo tu yale, nishaona kinyonga anakwenda mbio kuliko mjusi maeneo ya urambo tabora, kipindi cha kiangazi wenyeji huchoma mapori kwa ajili ya uwindaji, alinipita barabarani speed ka ya kenge, alipofika barabarani alisimama akitweta, nikasema kumbe kifo kinatisha,
 
rattlesnake-tongue.jpg.adapt.945.1.jpg
Aksante sana mkuu, je huwa wanapatikana sehemu zipi?
 
Investigator samahani sana mkuu kwani sio kila mwana JF ni mwanasiasa.
 
Aisee kumbe maisha magumu na mawazo ya ajira ni kwangu tu , yaan mtu hadi anapata kuwaza kutaka kujua nyoka akitikisa mkia anamanisha nini ee mungu nibariki na nipunguzie ugumu wa maisha nami sku moja nije na thread ya kwann kinyonga anatembea pole pole
Ni busara vilevile kukaa kimya kwa jambo lisilokuhusu.
 
Kwa kawaida jamii nyingi za nyoka (koboko usimuweke kundi hili) hua wanakua wa kwanza kutafuta njia ya kutoroka wanapoona mnyama akiwasogelea (namaanisha mpaka binadamy) hii inaonesha pia ni kwanini facts nyingi za Anaconda hazijulikani.

Akiwa ameamua kukutoroka ukalazimisha kumzinga mpaka akawa hana namna nyingine ya kutoroka hukaa mkao wa kushambulia na kuanza tabia za kukupa tahadhari.
1. Cobra atatanua shingo yake.
2. Black mamba ataachama mdomo na kukuonesha mdomo wake.
3. Rattle snake atachezesha mkia wake.

Hao nyoka wanaotoa mlio mkiani ni rattle snake na si kwamba mlio wao ni 'chekeche' bali hua mlio kama wa simu ikiwa inavibrate, hivyo inawezekana hata usisikie kama anakupa onyo.

Kutikisa mkia pia hufanywa ikiwa amekaa windoni na anajiandaa kufanya ambush (kumbuka nimesema mlio ni kama wa vibration) hivyo hata mnyama anayewindwa anaweza asisikie.

Kwangu mimi naona kua nyoka atatikisa mkia akiwa anajihami au akiwa anawinda na akitoa mlio wa 'hhssss' huyo ni kobra na huo hautokei mkiani ni mdomoni and inaweza kua too late kufigure out nini kimetoa mlio maana mate yake yana accuracy ya mpaka futi 7
Aksante sana mkuu kwa ufafanuzi murua. JF ina hazina kubwa ya 'Great Thinkers'.
 
Kweli swali zuri wacha niongeze swali hapo hivi na wanawake wanaotikisa matako ni jamii moja na hao nyoka na wanamaanisha nini?
Yeah, hivi utajisiaje ukisikia mtoto wako (kama unae) katika mitihani ya mwisho majibu kaandika nyimbo za bongo fleva?
 
Aisee kumbe maisha magumu na mawazo ya ajira ni kwangu tu , yaan mtu hadi anapata kuwaza kutaka kujua nyoka akitikisa mkia anamanisha nini ee mungu nibariki na nipunguzie ugumu wa maisha nami sku moja nije na thread ya kwann kinyonga anatembea pole pole
Soma tu mkuu yatakusaidia siku ukianza kujitegemea (ukitoka kwa wazazi) wenzio tumeajiriwa na bado tunapambana porini na tunakutana na hizi changamoto

Sent from my TECNO-H3 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu, nipatapo muda huwa naangalia TV chaneli ya Animal Planet. Kilichonisukuma kujua ni jinsi nyoka anapochezesha mkia wake (sehemu ya mwisho ya mwili wake) na kutoa mlio kama chekeche hivi, huwa anaashiria nini?


Ni kwa sababu anakupenda.
 
maringo tu yale, nishaona kinyonga anakwenda mbio kuliko mjusi maeneo ya urambo tabora, kipindi cha kiangazi wenyeji huchoma mapori kwa ajili ya uwindaji, alinipita barabarani speed ka ya kenge, alipofika barabarani alisimama akitweta, nikasema kumbe kifo kinatisha,
Hahahaaaa niliwahi kumshuhudia kinyonga kadondoka kwenye siafu duh! Nilihisi labda kachukua bodaboda...
 
Back
Top Bottom