Nyodo za Masogange kwa Mwakyembe...

Nyodo za Masogange kwa Mwakyembe...

da hii kipisi ya dunia upande wetu jama ikibidi tupandishe tu sisi imekuwa mzigo mkubwa mno
 
Watu wengi wanatumia nafasi zao kiofisi isivyo halali, hata closeness ya Wema na Nape haipo kiprofeshenali, jana niliona kifupi jinsi alivyojitetea juu ya ukaribu wake na Wema.
 
Katika mengi aliyoyazungumza Mwakyembe mbele ya waandishi wa habari
alitaja kuwa huyo binti (Masogange) alikuwa anamfanyia nyodo..


Nimebaki na maswali tele kwa kweli...

Mwakyembe na Masogange walikuwa 'wanakutana'?

wapi? ...katika mazingira gani hadi Masogange amletee 'nyodo'?

Mawaziri huwa wanakutana na watuhumiwa ?

au hawa walikuwa wanaishi mtaa mmoja?


Hivi kuna mtu alie elewa hili suala la nyodo za Masogange kwa Mwakyembe?
Rudia Mara mbili mbioi kujiukiza swali hilo utaona jinsi mwakyembe alivyo mwongo japo so kwa kosa lake ila ile sumu inamfanya mda mwingine asijue anafanya nini
Kama alivyosena anawezakuivuta TLS
 
Katika mengi aliyoyazungumza Mwakyembe mbele ya waandishi wa habari
alitaja kuwa huyo binti (Masogange) alikuwa anamfanyia nyodo..


Nimebaki na maswali tele kwa kweli...

Mwakyembe na Masogange walikuwa 'wanakutana'?

wapi? ...katika mazingira gani hadi Masogange amletee 'nyodo'?

Mawaziri huwa wanakutana na watuhumiwa ?

au hawa walikuwa wanaishi mtaa mmoja?


Hivi kuna mtu alie elewa hili suala la nyodo za Masogange kwa Mwakyembe?
akili yako ndo imechambua hivyo kweli Tz tuna safari ndefu kwa uelewa huu
 
Watu wengi wanatumia nafasi zao kiofisi isivyo halali, hata closeness ya Wema na Nape haipo kiprofeshenali, jana niliona kifupi jinsi alivyojitetea juu ya ukaribu wake na Wema.

Huyu Nape mara Wema mara Uwoya..mradi kila mrembo yuko nae 'karibu'
 
Rudia Mara mbili mbioi kujiukiza swali hilo utaona jinsi mwakyembe alivyo mwongo japo so kwa kosa lake ila ile sumu inamfanya mda mwingine asijue anafanya nini
Kama alivyosena anawezakuivuta TLS

Mwakyembe nae ni kama comedian siku hizi
 
Katika mengi aliyoyazungumza Mwakyembe mbele ya waandishi wa habari
alitaja kuwa huyo binti (Masogange) alikuwa anamfanyia nyodo..


Nimebaki na maswali tele kwa kweli...

Mwakyembe na Masogange walikuwa 'wanakutana'?

wapi? ...katika mazingira gani hadi Masogange amletee 'nyodo'?

Mawaziri huwa wanakutana na watuhumiwa ?

au hawa walikuwa wanaishi mtaa mmoja?


Hivi kuna mtu alie elewa hili suala la nyodo za Masogange kwa Mwakyembe?
Mzee kapitiwa akatoa ya sirini
 
Only Mwakyembe can answer this... By the way it's ridiculous kwa waziri kuletewa nyodo na raia, si umeona alichokifanya Albert Makonda kwa Manji?... Huu uzi una shake credibility ya Mwakyembe.
Mbona hajakifanya kwa masogange???!!
 
Mwakyembe nae ni kama comedian siku hizi
Unamwona anavyohangaika kama kuku anataka kutaga yeye masogange
Yeye kuna MTU alikuwa anasaidia sana kukamata madawa amewekwa ndani unaweza ondoka na lipi hapo sasa !??
 
Unajua maana yake sio dhahiri. Waziri hakumaanisha nyodo katika matumizi ya kawaida
 
Mwakyembe siku hizi ni moja kati ya viongozi ambao siwaelewi sijui ni umri huyu mzee!
 
Mwakiembe alishawahi kuingia katika vita ya madawa na alikamata baadhi ya mizigo then ikaachiwa so may be bro walitambiana humo I don't know
 
Waziri anahangaishwa na tamaa za kimwili na ndio maana akaletewa nyodo. Jamani ushamba mzigo, kuna wengine wanajua madaraka yanatongoza!
 
Katika mengi aliyoyazungumza Mwakyembe mbele ya waandishi wa habari
alitaja kuwa huyo binti (Masogange) alikuwa anamfanyia nyodo..


Nimebaki na maswali tele kwa kweli...

Mwakyembe na Masogange walikuwa 'wanakutana'?

wapi? ...katika mazingira gani hadi Masogange amletee 'nyodo'?

Mawaziri huwa wanakutana na watuhumiwa ?

au hawa walikuwa wanaishi mtaa mmoja?


Hivi kuna mtu alie elewa hili suala la nyodo za Masogange kwa Mwakyembe?


The Boss....inawezekana Masogange alimuonyesha dalili au alimwambia kuwa ......siongei na mbwa,anongea na mwenye mbwa.........Maana awamu iliyopita nayo ilikuwa si haba.
 
Nyodo zake zinaweza kua na tafsiri mbali mbali, ikiwemo
1) Kwamba masogange ni Mtoto Alieumbika, Mrembo wa Kuvutia so pengine Nyodo zake ni katika kumteka akili Mwaky
2) Kwamba Masogange ana mtandao mkubwa (maboss zake) usiogusika na yeyote so anamuona Mwaky anapoteza muda tu
3) ...
Mara zote Dr. Harrison Mwakyembe, ni mtu makini na haongelei upumbavu. Tuachane na mjadala huu
 
Nimejaribu kutengeneza scene ya Masogange kumletea nyodo lakini inashindikana.

Hapo kuna mawili, aidha Masogange alikuwa hawara au punda wake.
 
vitu vingine usipende kuviulizauliza sana kakangu, usije ukajikuta na ww upo selo ...

kwa sisi watu wazima tushaelewa maana ya "nyodo"
 
Back
Top Bottom