Nyodo za Masogange kwa Mwakyembe...

Nyodo za Masogange kwa Mwakyembe...

Katika mengi aliyoyazungumza Mwakyembe mbele ya waandishi wa habari
alitaja kuwa huyo binti (Masogange) alikuwa anamfanyia nyodo..


Nimebaki na maswali tele kwa kweli...

Mwakyembe na Masogange walikuwa 'wanakutana'?

wapi? ...katika mazingira gani hadi Masogange amletee 'nyodo'?

Mawaziri huwa wanakutana na watuhumiwa ?

au hawa walikuwa wanaishi mtaa mmoja?


Hivi kuna mtu alie elewa hili suala la nyodo za Masogange kwa Mwakyembe?
Amemkosea sana Masogange kuweka wazi mambo yao binafsi
 
Itakuwa alidharauliwa wakati akiwa waziri awamu ya nne mahala kwa kuwa binti alikuwa ndani ya mtandao .
 
Katika mengi aliyoyazungumza Mwakyembe mbele ya waandishi wa habari
alitaja kuwa huyo binti (Masogange) alikuwa anamfanyia nyodo..


Nimebaki na maswali tele kwa kweli...

Mwakyembe na Masogange walikuwa 'wanakutana'?

wapi? ...katika mazingira gani hadi Masogange amletee 'nyodo'?

Mawaziri huwa wanakutana na watuhumiwa ?

au hawa walikuwa wanaishi mtaa mmoja?


Hivi kuna mtu alie elewa hili suala la nyodo za Masogange kwa Mwakyembe?
Eti Masogange anamletea nyodo, waziri wa mawasiliano na uchukuzi kweli unaletewa nyodo na kisiachana kinachocheza kwenye miziki ya bongo fleva halafu unalalamika?
 
Eti Masogange anamletea nyodo, waziri wa mawasiliano na uchukuzi kweli unaletewa nyodo na kisiachana kinachocheza kwenye miziki ya bongo fleva halafu unalalamika?

Ndo maana tukauliza
walikutana wapi?

Au anakiri kuwa alikuwa 'anamsalandia'?
 
Bado kuna kitu Mwakyembe kakificha

watuhumiwa wanahojiwa na polisi na kama ni waziri basi waziri wa mambo ya ndani
sasa yeye Mwakyembe hakuwa waziri wa mambo ya ndani

ilikuwaje akaenda karibu na Masogange hadi 'aletewe nyodo'?
Labda ndio maana masogange akamletea nyodo kwa kujua anaongea na asiehusika so sio lazima ajibu
 
Bado kuna kitu Mwakyembe kakificha

watuhumiwa wanahojiwa na polisi na kama ni waziri basi waziri wa mambo ya ndani
sasa yeye Mwakyembe hakuwa waziri wa mambo ya ndani

ilikuwaje akaenda karibu na Masogange hadi 'aletewe nyodo'?
hivi the boss unawaza nini siku hizi, yaani kumletea nyodo mpaka wakutane??? alimtumia ujumbe wa kumwambia mtandao wake ni mkubwa na ana back up ya wakubwa wake, hivo anajisumbua kumfuatilia..

the boss you are too smart than that..
 
Katika mengi aliyoyazungumza Mwakyembe mbele ya waandishi wa habari
alitaja kuwa huyo binti (Masogange) alikuwa anamfanyia nyodo..


Nimebaki na maswali tele kwa kweli...

Mwakyembe na Masogange walikuwa 'wanakutana'?

wapi? ...katika mazingira gani hadi Masogange amletee 'nyodo'?

Mawaziri huwa wanakutana na watuhumiwa ?

au hawa walikuwa wanaishi mtaa mmoja?


Hivi kuna mtu alie elewa hili suala la nyodo za Masogange kwa Mwakyembe?
In serious matters mwanamke atakuleteaje nyodo?Nadhani kulikuwa na "extra curricular issues."
 
hivi the boss unawaza nini siku hizi, yaani kumletea nyodo mpaka wakutane??? alimtumia ujumbe wa kumwambia mtandao wake ni mkubwa na ana back up ya wakubwa wake, hivo anajisumbua kumfuatilia..

the boss you are too smart than that..

Mkuu ukiwa great thinker lazima ujifunze kuuliza maswali

Masogange amtumie sms waziri wa uchukuzi? ili iweje?
namba yake allipataje?

Usisahau kesi za wauza madawa zipo chini ya waziri wa mambo ya ndani

sasa mtuhumiwa aipate namba ya waziri asiehusika amtumie sms?

Yeye waziri Mwakyembe alikuwa anawasiliana na watuhumiwa kwa lengo lipi?
 
Mwenye akili kubwa kaelewa!..... Connect dots.... Utawala uliopita...... Skendo ya HSC!....... kukamatwa na mabegi 6 airport..... Kuachiwa kwake huru....... Utajua huu ulikuwa mtandao usioguswa!...... Lazma alete nyodo!!!!! Akili ya kuambiwa.......... Changanya na....
...
 
Watu wengi wanachukulia kawaida
but kimaadili Waziri kuleta 'matamanio' yake binafsi na shughuli za kisheria ni tatizo
inastua
tehe tehe tehe nimejikuta nacheka, ila hilo tatizo si sugu hapa kwetu, viongozi wengi hawawezi kutenganisha kazi na personal issues zao
 
tehe tehe tehe nimejikuta nacheka, ila hilo tatizo si sugu hapa kwetu, viongozi wengi hawawezi kutenganisha kazi na personal issues zao

Kwenye personal issues Masogange alikuwa na haki ya kuleta nyodo..
sasa yeye kulalamika ni kujichoresha tu
 
Kwani mtu kukuonyesha nyodo mpaka muonane ana kwa ana? Mbona inawezekana kabisa mtu akaposti mtandaoni picha, video au audio yenye kumzodoa mbaya wake? Je haiwezekani kwa kuwatumia watu walio karibu na Mwakyembe? Mfano 'mwambieni ajiendae kuhama wizara kwa sababu ameingia anga zisizo zake'!? Hakuna stori wala kilichojificha hapa.
 
Kwani mtu kukuonyesha nyodo mpaka muonane ana kwa ana? Mbona inawezekana kabisa mtu akaposti mtandaoni picha, video au audio yenye kumzodoa mbaya wake? Je haiwezekani kwa kuwatumia watu walio karibu na Mwakyembe? Mfano 'mwambieni ajiendae kuhama wizara kwa sababu ameingia anga zisizo zake'!? Hakuna stori wala kilichojificha hapa.

Wauza madawa wanachunguzwa na kukamatwa na polisi walio chini ya wizara ya mambo ya ndani

Mwakyembe hakuwa waziri wa mambo ya ndani hadi awe 'mbaya wake'
 
Hii iitwe Tanzania

Ni nchi ya pekee duniani

Kalio linakalia fikra za wafikiriaji wa mafikirio

Tutafikiri sahihi?


Labda makalio!
Hapo ndo inanifanya nimkumbuke, Marehemu Didas Masaburi (rip), Meya wa Jiji la Dar Es Salaam, aliyepata kusema...nanukuu "Wabunge wengi wanafikiria kwa kutumia Makalio"
 
Wauza madawa wanachunguzwa na kukamatwa na polisi walio chini ya wizara ya mambo ya ndani

Mwakyembe hakuwa waziri wa mambo ya ndani hadi awe 'mbaya wake'
Mwakyembe ana matatizo ya kick. Lakini namuamin anaposema Masogange alimletea nyodo. Sishangai kwa Masongange kumzodoa Mwakyembe maana wahusika wakuu(Wizara ya Mambo ya Ndani) walikuwa wametulia, yeye kimbelembele kutoka Uchukuzi akajifanya polisi.
 
Back
Top Bottom