Mkussi10jr
Member
- Sep 27, 2019
- 6
- 3
Au kuna hizi nyingine mbili
1.BABA MSALITI by PC THE MC
2.AFANDE MSELA by PC THE MC
1.BABA MSALITI by PC THE MC
2.AFANDE MSELA by PC THE MC
haha hapana mkuuyani list yote ni nyimbo za zamani.
siku hizi ni _"ipake mate izame kwa mpalange"
Nyimbo za zamani raha sana, na zinaeleweka kirahisi.haha hapana mkuu
mwandishi ameegemea sana upande huo.
kunawasanii wa kizazi hichi wako vizuri sana pia Mfano
1:dizasta~siku mbaya, lost one,kikaoni nk
2:Nikki mbishi~play boy
3:sterio~rafiki
4:songa~enzi za uzito,usiku etc
WaPo wengi ila mleta Uzi ni mraibu wa nyimbo za zamani.
Busu la pink - Marlaw, ni wimbo ulionisaidia kumpata mrembo mke wangu miaka kumi na...iliyo pita.
NakaziaNyimbo za zamani tamu sana, tulikuwa tunapewa story kweny wimbo ila siku hizi tunapewa matusi kweny wimbo
yani list yote ni nyimbo za zamani.
siku hizi ni _"ipake mate izame kwa mpalange"
Nakuvisha * 5 mkuuStory teller songa aiseee
Side mnyamwezi- Temba.
Bizzman - Ametoroshwa huwa inanichekesha sana[emoji23]
itafute video utaona kanavohuzunikaKivipi mkuu?
Harmonize- never give upyani list yote ni nyimbo za zamani.
nyimbo za siku hizi ni _"ipake mate izame kwa mpalange"