Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,160
- 85,150
Naunga mkono hoja..yani list yote ni nyimbo za zamani.
siku hizi ni _"ipake mate izame kwa mpalange"
Naunga mkono hoja..yani list yote ni nyimbo za zamani.
siku hizi ni _"ipake mate izame kwa mpalange"
Story teller songa aiseeeNimeshangaa kutokuona story teller wakali
Dizasta vina-siku mbaya
P mawenge-noma mwanangu
Dizasta vina-kikaoni
.......
Mimi pia nilitegemea kumuona dizasta, songa na chindo a.k.a umbwa, ila si mbaya ukaongezeaNimeshangaa kutokuona story teller wakali
Dizasta vina-siku mbaya
P mawenge-noma mwanangu
Dizasta vina-kikaoni
.......
Title haijaspecify kama za zamani tuHizo ulizotaja ni za zamani au
OkMimi pia nilitegemea kumuona dizasta, songa na chindo a.k.a umbwa, ila si mbaya ukaongezea
Title haijaspecify kama za zamani tu
Andika full mkuu ili watu wakiGOOGLE wapate hiyo lyrics.Rafiki- Sterio ft Grace Matata
Storytelling bora kuliko zote kwangu
Anakwambia÷
Nilikutana naye
Pande za Kinondoni
Mida ya saa saba za mchana
Ilisema saa ya mkononi
Stand ya daladala maarufu
Kama Morocco mimi natoka
Mbagala naenda pande za King'oko
Dah anamwachaje mwamba kama huyu.Chindoman_nyokaa
Chindoman_kingkola (nisahihishwe)
Chindoman_tumbonii
Chindoman_haikupangwa
_
_
_