ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Utakuta mdada kamuona mume/penzi wa rafiki yake anakula raha na mwanamke wa 'pembeni' au wameingia nyumba ya wageni kufanya mapenzi, basi nongwa. Mwanamke roho inamuuma utadhani labda ndo yeye kafumania. Isitoshe rafiki mwenyewe anayemuonea wivu kumuona mpenzi wake akitoka na mwanamke mwingine sio kusema labda ni wa karibu kiviiiiiiiiiile, wamekutana tu mjini.
Cha ajabu atampigia simu shosti mwenzake aje afanye fumanizi ndiyo iwe furaha yake kuona mwanaume kafumaniwa. Baada ya hapo hakuna la maana atakalopata kutokana na 'umbea' wake zaidi ya ndoa ya shosti wake kuingia kidudu mtu na pengine kuvunjika kabisa.
La kushangaza, kwa wanaume ni tofauti kabisa kwani wengi kabla ya kufanya lolote akikuta demu wa mchizi wake anamegwa, wengi huamua kupotezea. Na hofu kubwa kwa wanaume ni kwamba huenda akichoma utambi lisitokee lolote zaidi ya wahusika kumalizana kwa busara na maisha yao yakaendelea kama kawaida-coz kufumaniana siku hizi ni issue ya kawaida sana miongoni mwa wapenzi.
Mimi nadhani kuna haja ya mtu kuendelea na hamsini zako inapotokea unakutana na issue kama hii, maana wengine sio issue kushare mapenzi na wanawake/wanaume tofauti kutokana na makubaliano yao. Usisahau pia kuwa couple zingine hiyo kwao ni ajira kama ajira nyingine. Mind your business
Wewe unasemaje?
Cha ajabu atampigia simu shosti mwenzake aje afanye fumanizi ndiyo iwe furaha yake kuona mwanaume kafumaniwa. Baada ya hapo hakuna la maana atakalopata kutokana na 'umbea' wake zaidi ya ndoa ya shosti wake kuingia kidudu mtu na pengine kuvunjika kabisa.
La kushangaza, kwa wanaume ni tofauti kabisa kwani wengi kabla ya kufanya lolote akikuta demu wa mchizi wake anamegwa, wengi huamua kupotezea. Na hofu kubwa kwa wanaume ni kwamba huenda akichoma utambi lisitokee lolote zaidi ya wahusika kumalizana kwa busara na maisha yao yakaendelea kama kawaida-coz kufumaniana siku hizi ni issue ya kawaida sana miongoni mwa wapenzi.
Mimi nadhani kuna haja ya mtu kuendelea na hamsini zako inapotokea unakutana na issue kama hii, maana wengine sio issue kushare mapenzi na wanawake/wanaume tofauti kutokana na makubaliano yao. Usisahau pia kuwa couple zingine hiyo kwao ni ajira kama ajira nyingine. Mind your business
Wewe unasemaje?