Mkuu, nimechemsha nimeshindwa kujua ni nini, naomba ufafanuzi hata kwa PM
Wakali wa hizo kazi.wako vizurii
Niombee mwanadome.. Siku hizi style yao unaambiwa chukua begi kuna kasemina mahali kenye kahela kazuri... Unajikoki na kibegi chako kumbe unaenda kukutana na chatu... Halafu wakishamalizana na wewe wanakutupa popote na kibegi chako...
utaishia kuambiwa ulijiteka kisha ukajinywesha madawa. Ya kulala
Mkuu naomba unijulishe mimi ni mgeni kwenye hiyo picha, yaani ndo mara yangu ya kwanza kuiona nmeshindwa kujua ni nini na matumizi uake ni yapi?Wakali wa hizo kazi.wako vizurii
Unaposoma Thread za mshana jr inatakiwa utulize akili, lakini ukisoma kama unasoma gazeti lazima upoteze NetworkNtarudi tena maana sijakupata kabisa
Network error...
Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake.
Wewe jamaa kwa fasihi naanza kukuhisi kwamba Roma alikuletea mashairi ya Ule wimbo wake umsaidie kuupdate, anyway nishaanza kupata mwangaVyoo vya shimo huko Tibet kwa Dalai lama... Kwa kinyaki vinaitwa shitiholu(kwa sauti ya babu yangu)
cityhall (babu yangu hawezagi kusema C.. Kwake yeye C ni shi) yalitamkwa na mtemi mmoja wa mji mkubwa wa mbali vijiji kadha kutoka cha kwetu...
Bullet hiyo imetoka kwa wasiojulikanaBabu yangu bwana....apumzike kwa amani... Neno la mtemi ni chungu lakini lina uhalisia..... View attachment 708432View attachment 708433
City hall empires
Aha ha haaaaa! Haya bhana ila sidhani kama hicho kibubu kitapata wateja maana sio kwa msuguano huu mkavu mkavu na kelele za mitambo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
naenda kwenye ufunguzi wa kibanda cha kibubu chattle.... Kijiji kina raha kile