nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 6,280
- 7,774
Duh!!!Moja jumlisha moja wanasema eti ni kumi na moja... Kuna wakati kidogo nikubaliane na hii aljebra ya kizio cha tatu bila baki.. Lakini nikasema hapana ngoja nijaribu na magazijuto nione yatanipa jibu gani.. Dah kumbe niko city hall sikutaka kuendelea zaidi