Nyie form form42011 pressure inapanda ina.......

BUMIJA

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
5,818
11,001
Hivi hofu na shauku ya Vijana wetu waliomaliza ni kua hamu ikizidi kupata walichopanda ni ishara ya kufanya vizuri jameni wana jf
 
Wanajua walichokifanya. Wana mashaka na kitakachofaulu kutegemeana na vipaummele walivokuwa navyo. Wengine vipaumbele vilikuwa simu, movie, tamthilia, facebook na wengine ni shule.
 
4m5 hyo..............." but cwa wale walioendekeza facebook, twitter, movies, tamthiliya disco, swaga, mademu au maboy na kusahau cuxoma"' msitegemee miujiza.
 
wale waliojua shule walifuata nini wategemee mazuri ila wale waliofikiri walipelekwa ili wakakue na kuongezeka kimo, imekula kipande yao.
 
kazi ipo hap,mimi mwenyewe niliambiwa leo,nikaamkia net nikakuta patupu,hapa tena naambiwa j3,cjui inakuje
 
Dah nimefurah mana vijana wanapumulia mashine
 
Back
Top Bottom