Nyeusi kuitwa nyekundu

Nyeusi kuitwa nyekundu

Jile79

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2009
Posts
17,668
Reaction score
13,271
Najribu kufikiri kwa sauti.

Maajabu mengi hutokea Africa hususani Tanzania. Mlima mrefu kuliko yote baani Afrika uko Tanzania.

Fuvu la Binadamu wa kwanza liligundulikaTanzania. Na hata kikombe cha babu kilitokea TZ.

Kwa jinsi CCM ilivyo chafu hata aje malaika kutoka mbinguni naye atabadilika na kuonekana mchafu na kwa jinsi CHADEMA ilivyo safi hata akija Lucifer akagombea kupitia CHADEMA atabadilika na kuonekana msafi sana.

Fumbo mfumbie mjinga,mwerevu atakuumbua!
 
Imekwisha roho inauma sema ukweliiiiii kisha hama nyie si chama tawala utakua chama pinzani punde tu
 
Najribu kufikiri kwa sauti......
Maajabu mengi hutokea Africa hususani Tanzania. Mlima mrefu kuliko yote baani Afrika uko Tanzania. Fuvu la Binadamu wa kwanza liligundulikaTanzania. Na hata kikombe cha babu kilitokea TZ.
Kwa jinsi ccm ilivyo chafu hata aje malaika kutoka mbinguni naye atabadilika na kuonekana mchafu na kwa jinsi Chadema ilivyo safi hata akija Lucifer akagombea kupitia cdm atabadilika na kuonekana msafi sana.
Fumbo mfumbie mjinga,mwerevu atakuumbua!!!!

umenichekesha sana. Sasa ndiyo watu wataelewa kazi ya mabere marando ilikuwa nini hapo. bado mzee mzima apson! weye chezea serikali ya professor JK
 
Najribu kufikiri kwa sauti......
Maajabu mengi hutokea Africa hususani Tanzania. Mlima mrefu kuliko yote baani Afrika uko Tanzania. Fuvu la Binadamu wa kwanza liligundulikaTanzania. Na hata kikombe cha babu kilitokea TZ.
Kwa jinsi ccm ilivyo chafu hata aje malaika kutoka mbinguni naye atabadilika na kuonekana mchafu na kwa jinsi Chadema ilivyo safi hata akija Lucifer akagombea kupitia cdm atabadilika na kuonekana msafi sana.
Fumbo mfumbie mjinga,mwerevu atakuumbua!!!!

Hilo fuvu lilikuwa la Adam au?
 
Wanasiasa wote wana njaa...wanawachota akili mnakua misukule yao...wote wezi hakuna cha tawala wala pinzani
 
  • Thanks
Reactions: G3T
........japo dhambi zenu zi nyekundu kama damu!....MUNGU WETU ataziosha na zitangaa kama THELUJI

N.B:-KWA WANAOAMINI KATIKA MUNGU/ALLAH.
 
Najribu kufikiri kwa sauti......
Maajabu mengi hutokea Africa hususani Tanzania. Mlima mrefu kuliko yote baani Afrika uko Tanzania. Fuvu la Binadamu wa kwanza liligundulikaTanzania. Na hata kikombe cha babu kilitokea TZ.
Kwa jinsi ccm ilivyo chafu hata aje malaika kutoka mbinguni naye atabadilika na kuonekana mchafu na kwa jinsi Chadema ilivyo safi hata akija Lucifer akagombea kupitia cdm atabadilika na kuonekana msafi sana.
Fumbo mfumbie mjinga,mwerevu atakuumbua!!!!

CCM ni chafu halikadhalika CDM,

wanasiasa badilikeni, tunawaona mnavofanya madudu yenu ,mnavojitahidi kupaka rangi penye uchafu,


Nyie cdm & ccm hamna lolote wote wachafu
 
wapiga kura tupo tumetulia, twangoja oct 25 ifike...
 
umenichekesha sana. Sasa ndiyo watu wataelewa kazi ya mabere marando ilikuwa nini hapo. bado mzee mzima apson! weye chezea serikali ya professor JK

Yes. Naona ni kweli tutaisoma namba mwaka huu
 
Mh.hii ya mwaka huu kiboko yetu watz.

Siasa ni uhuni kuliko uhuni wenyewe.
 
CCM ni chafu halikadhalika CDM,

wanasiasa badilikeni, tunawaona mnavofanya madudu yenu ,mnavojitahidi kupaka rangi penye uchafu,


Nyie cdm & ccm hamna lolote wote wachafu

Wengi hawajajua huu ukweli.Bado wamelala.
 
Back
Top Bottom