Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,271
Najribu kufikiri kwa sauti.
Maajabu mengi hutokea Africa hususani Tanzania. Mlima mrefu kuliko yote baani Afrika uko Tanzania.
Fuvu la Binadamu wa kwanza liligundulikaTanzania. Na hata kikombe cha babu kilitokea TZ.
Kwa jinsi CCM ilivyo chafu hata aje malaika kutoka mbinguni naye atabadilika na kuonekana mchafu na kwa jinsi CHADEMA ilivyo safi hata akija Lucifer akagombea kupitia CHADEMA atabadilika na kuonekana msafi sana.
Fumbo mfumbie mjinga,mwerevu atakuumbua!
Maajabu mengi hutokea Africa hususani Tanzania. Mlima mrefu kuliko yote baani Afrika uko Tanzania.
Fuvu la Binadamu wa kwanza liligundulikaTanzania. Na hata kikombe cha babu kilitokea TZ.
Kwa jinsi CCM ilivyo chafu hata aje malaika kutoka mbinguni naye atabadilika na kuonekana mchafu na kwa jinsi CHADEMA ilivyo safi hata akija Lucifer akagombea kupitia CHADEMA atabadilika na kuonekana msafi sana.
Fumbo mfumbie mjinga,mwerevu atakuumbua!