The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 6,272
- 14,299
Kuna watu wanajifanya wanafumba macho ila wakwanza kuiharibu nchi hii alikua mwalimu
Heheheeee. Upuuzi wa kuamini fikra za mwenyekiti ndio umetufikisha hapa tulipo. VENEZUELA wanashikilia zidumu fikra za mwalimu, wanalowea kwenye mfumuko wa bei kama zimbabweTuna Imani na nyerere oyaa oyaa oyaaaa, nyerere kweli kwelii kweli kweli nyerereeee, hata kama hupendi, ziba macho na masikio.
Nani kakwambia simpendi nyerere?! huwezi kukana kweli kwasababu ya mapenzi. Ukweli utabaki kuwa ukweli. Kama kupanga foleni kusubiri duka la SUKITA au TRC lifunguliwe ilikuwa ni fahari inabidi upimwe akili.
Nyerere legacy failed 100%.
1. Kuchagua sera za ujamaa lilikua kosa lake kwanza.
2. Kuchukua viwanda,Shule, taasisi Na kuzitaifisha lilikua kosa kubwa.
3. Kuanzishwa vijiji vya ujamaa kwa kuwakusanya watu kwa mkono Wa chuma was a great mistake. Watu walipoteza Mali, wengine kushindwa kucope Na mazingira mapya ya kulazimishwa.
4. Kuzuia mfumo Wa vyama vingi Na Uhuru Wa kukosolewa Na zikabaki zidimu fikra za mwenyekiti. Here we are.
5. Kutumia rasilimali za chi kukomboa mataifa mengine bila mkataba Wa kurefund izohela baada ya Uhuru. Check Mozambique Na South wanavotufanyia wamesahau tuliyowafanyia so bora tuwe kamarekan hatumii fedha zake ktk Vita bila return .
6. Kushindwa kuzuia rushwa serikalin Na katika mashirika. MTU anapewa umeneja Wa kiwanda au taasisi anaiba anafirisi kisha anahamishwa toka sehem moja kwenda nyingine. Ilipaswa afikishwe mahakaman Na afirisiwe. Hicho ndicho kimeigwa mpk Leo.
7. Alichangia kuendelea kwa katiba inayotuumiza hii Leo. Hakuamini nguvu ya upinzani, aliamin katika chama chake pekee. Ilifika anasema rais Bora atatoka CCM pekee why?
Tunapaswa kumpima MTU economically kujua alifaulu ama alifeli.
Uchumi Wa Tanzania upo chini sana kwasababu ya sera zetu tulizoamua kuingia bila referendum kujua km watu wanaafiki ama la.
Siamini kama kuna haja hiyo ya kucelebrate life ya Mwl. Katika context ya economy.
Kwenye sera za uchumi alifeli tena sana tu na hata yeye mwishowe aligundua makosa yake, serikali haipaswi kufanya biashara inapaswa ku-regulate na ku support ukuaji wa biashara kisha ikusanye sehemu ya faida kama kodi. Pia serikali haiwezi kutoa huduma zote za kijamii kwa ubora ni lazima i support na kuruhusu sekta binafsi zinazotoa huduma kama afya, elimu na fedha (benki). Yeye alitaka vyote viendeshwe na serikali mwishowe viliishia kufa tu.
Huyu wa sasa nae ameanza kuingia kwenye ka mtego ka kutamani serikali i control kila kitu, sera za namna hiyo mwisho wake ni unajulikana kabla hata haujafika.
Kwenye sera za uchumi alifeli tena sana tu na hata yeye mwishowe aligundua makosa yake, serikali haipaswi kufanya biashara inapaswa ku-regulate na ku support ukuaji wa biashara kisha ikusanye sehemu ya faida kama kodi.
Pia serikali haiwezi kutoa huduma zote za kijamii kwa ubora ni lazima i support na kuruhusu sekta binafsi zinazotoa huduma kama afya, elimu na fedha (benki). Yeye alitaka vyote viendeshwe na serikali mwishowe viliishia kufa tu.
Huyu wa sasa nae ameanza kuingia kwenye ka mtego ka kutamani serikali i control kila kitu, sera za namna hiyo mwisho wake ni unajulikana kabla hata haujafika.
kwa wale wanaopinga philosophy ya mwl ni watoto wadogo ambao hawajitambui. kwani China na urusi ambao ni nchi tajiri duniani wao hawakuendesha uchumi wao kwa kutumia taasisi as serikali na wakafika walipo sasa?
watendaji ndio wanaoiangusha taasisi au nchi.
Nyerere alitimiza wajibu wake na sisi tutimize wetu. Tuache kulaumu laumu kama vile yeye ndio alikuwa akiyauwa mashirika ya uzalishaji mali wakati aliyaanzisha yeye na akatuachia tuyaendeshe tukashindwa.
Nyerere legacy failed 100%.
1. Kuchagua sera za ujamaa lilikua kosa lake kwanza.
2. Kuchukua viwanda,Shule, taasisi Na kuzitaifisha lilikua kosa kubwa.
3. Kuanzishwa vijiji vya ujamaa kwa kuwakusanya watu kwa mkono Wa chuma was a great mistake. Watu walipoteza Mali, wengine kushindwa kucope Na mazingira mapya ya kulazimishwa.
4. Kuzuia mfumo Wa vyama vingi Na Uhuru Wa kukosolewa Na zikabaki zidimu fikra za mwenyekiti. Here we are.
5. Kutumia rasilimali za chi kukomboa mataifa mengine bila mkataba Wa kurefund izohela baada ya Uhuru. Check Mozambique Na South wanavotufanyia wamesahau tuliyowafanyia so bora tuwe kamarekan hatumii fedha zake ktk Vita bila return .
6. Kushindwa kuzuia rushwa serikalin Na katika mashirika. MTU anapewa umeneja Wa kiwanda au taasisi anaiba anafirisi kisha anahamishwa toka sehem moja kwenda nyingine. Ilipaswa afikishwe mahakaman Na afirisiwe. Hicho ndicho kimeigwa mpk Leo.
7. Alichangia kuendelea kwa katiba inayotuumiza hii Leo. Hakuamini nguvu ya upinzani, aliamin katika chama chake pekee. Ilifika anasema rais Bora atatoka CCM pekee why?
Tunapaswa kumpima MTU economically kujua alifaulu ama alifeli.
Uchumi Wa Tanzania upo chini sana kwasababu ya sera zetu tulizoamua kuingia bila referendum kujua km watu wanaafiki ama la.
Siamini kama kuna haja hiyo ya kucelebrate life ya Mwl. Katika context ya economy.
Nyerere hakufeli kwenye sera za uchumi. Alifeli kwenye Utekelezaji wa sera hizo. Sera za uchumi za Nyerere ndiyo sera za mataifa makubwa na yenye uchumi bora duniani. Kwa mfano, China, Norway, Germany ni nchi ambazo serikali inahodhi sehemu kubwa ya biashara.
Qatar, Saudi, Algeria, Iran zote hizi ni nchi ambazo serikali ina biashara kubwa sana na inachangia pato la taifa kwa asilimia kubwa.
Marekani, Urusi na Ufaransa zote hizi ni nchi ambazo serikali inafanya biashara kubwa na inayochangia katika mapato yao ya taifa.
Dhana ya kuwa serikali haifanyi biashara, ni dhana potofu ambayo watu wa dunia ya tatu wamefundishwa na kuidandia bila kuwa na uyakinifu.
Hakuna duniani nchi iliyoendelea bila mtaji wa serikali na baadae watu binafsi kunufaika.
Nyerere legacy failed 100%.
1. Kuchagua sera za ujamaa lilikua kosa lake kwanza.
2. Kuchukua viwanda,Shule, taasisi Na kuzitaifisha lilikua kosa kubwa.
3. Kuanzishwa vijiji vya ujamaa kwa kuwakusanya watu kwa mkono Wa chuma was a great mistake. Watu walipoteza Mali, wengine kushindwa kucope Na mazingira mapya ya kulazimishwa.
4. Kuzuia mfumo Wa vyama vingi Na Uhuru Wa kukosolewa Na zikabaki zidimu fikra za mwenyekiti. Here we are.
5. Kutumia rasilimali za chi kukomboa mataifa mengine bila mkataba Wa kurefund izohela baada ya Uhuru. Check Mozambique Na South wanavotufanyia wamesahau tuliyowafanyia so bora tuwe kamarekan hatumii fedha zake ktk Vita bila return .
6. Kushindwa kuzuia rushwa serikalin Na katika mashirika. MTU anapewa umeneja Wa kiwanda au taasisi anaiba anafirisi kisha anahamishwa toka sehem moja kwenda nyingine. Ilipaswa afikishwe mahakaman Na afirisiwe. Hicho ndicho kimeigwa mpk Leo.
7. Alichangia kuendelea kwa katiba inayotuumiza hii Leo. Hakuamini nguvu ya upinzani, aliamin katika chama chake pekee. Ilifika anasema rais Bora atatoka CCM pekee why?
Tunapaswa kumpima MTU economically kujua alifaulu ama alifeli.
Uchumi Wa Tanzania upo chini sana kwasababu ya sera zetu tulizoamua kuingia bila referendum kujua km watu wanaafiki ama la.
Siamini kama kuna haja hiyo ya kucelebrate life ya Mwl. Katika context ya economy.
Benki kuu ya Marekani inamilikiwa na nani?Hoja yako haina ukweli wowote, mfano mdogo ni Marekani benki kuu ya marekani haimilikiwi na serikali na maamuzi yake hayahitaji idhini ya raisi, jeshi la marekani linatoa tenda za utengenezaji wa vifaa vyake na teknilogia kwa makampuni binafsi, kwamfano magari ya kivita ya jeshi (hamvee) yanatengenezwa na kampuni ya AM General ambayo ni kampuni binafsi. Ndege za kivita zinatengenezwa na kampuni ya boeing.
Hali iko hivyo kwa mataifa yote yaliyostawi kama uingereza, ujerumani, ufaransa, japan, australia n.k
Makampuni yao yanalipa kodi kubwa kutokana mapato makubwa, ndio maana ukisikia vikao vya mataifa makubwa mbali na ajenda usalama, ajenda inayofuata ni biashara (sio baina ya serikali bali makampuni ya nchi zao)
kuvaa suti za cho laina lipi alifanikiwa kwa 100%???
Benki kuu ya Marekani inamilikiwa na nani?
Unapozungumzia technology, nani anaemiliki NASA? UARMY, NAVY, AIR FORCE?
Unaposikia serikali ya US imeiuzia Saudi Arabia F-16s unadhani ni Boeing ndiyo wameuza?
Tuanzie hapo kwanza.
Unaendelea kuonyesha tu jinsi ulivyo poyoyo wa fikra.Wa kuhama nchi ni yule ambaye hata watu watoe mawazo yao. Huyo ahame dunia maana watu wanatoa mawazo yao tangu dunia imeumbwa na hawataacha kwa namna yoyote.