Nyerere Square Dodoma

mrsmaiko

Member
Joined
May 17, 2024
Posts
32
Reaction score
39
eneo hili ni mojawapo ya mipango bora kabisa ya iliyokuwa mamlaka ya uendelezaji mji. CDA. wali plan vizur sana miaka hio ya 1970s kwa kuweka bustan ya kupumzika.
jembe mwamba alivokuja akapaboresha sana sambamba na kuhamishia makao makuu
kwa hali ilivo sasa ni kama laiti pangetengewa hata 1% tu ya mapato ya jiji leo pangekua kama ulaya. kwa sasa vimbweta( viti vya kupumzikia) vichache na havina maintanqnce. dampo kubwa la taka sehem ya kupumzikia watu.
-viti vya zege vichache
-kukosa pavement kupelekea vumbi na kero kwa watalii
- dampo kubwa sehem ya kupumzikia watu
-wapiga picha kuzinga zinga watalii
ushauri.
 
Mkuu way back miaka hiyoooo dah Dom I will be back to live there, mkuu hapo serikali imesha jitahidi kidogo mana nasikia wale machinga washa HAMISHWA zamani kila jioni hapakaliki mara Moshi wa mishikaki mara nini sijui Yani fujo tupu ila siku hizi Pako poa sana mkuu, ni kweli kuhusu kutengewa budjet wafanye hivo bado hapalizishi kivile



Deal of million dollars kwishaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…