Halafu ona Mkapa alivyokuwa na nidhamu enzi hizo kwa mwalimu! Hata kama ni mimi lazima ningekuja kumpigia debe la uraisi. Ona anavyoonekana, yaani kabisa inadhihirisha adabu zote, mtoto mbele ya baba mzazi kabisa, mpole, hana makuu, yuko tayari kusikiliza, kutumwa, kuomba ushauri, kusaidia wazee, n.k. That was really very good of him!
Hahahahahaaa Mfupi ni Ben Mkapa..Issue nadhani ilikuwa hofu ya yeye kuja kuchapwa maana kesi inaonekana ilikuwa ya huyu Bwana wa suti nyeusi...Warioba kakaa pembeni kwa pozi la SINILIKUAMBIA??!!!