Nyerere na wenziye wanamuuliza nini huyu?

zamani heshima na adabu vilikuwepo sana...
 

Attachments

  • nyerere.jpg
    34.8 KB · Views: 448
MBONA HUYU MFUPI (SIJUI NI NANI) KASHIKILIA MAKALIO NA MWALIMU KASHIKA BAKORA? ALICHARAZWA HAMSA NINI?

 
Reactions: ral
zamani heshima na adabu vilikuwepo sana...
Halafu ona Mkapa alivyokuwa na nidhamu enzi hizo kwa mwalimu! Hata kama ni mimi lazima ningekuja kumpigia debe la uraisi. Ona anavyoonekana, yaani kabisa inadhihirisha adabu zote, mtoto mbele ya baba mzazi kabisa, mpole, hana makuu, yuko tayari kusikiliza, kutumwa, kuomba ushauri, kusaidia wazee, n.k. That was really very good of him!
 
MBONA HUYU MFUPI (SIJUI NI NANI) KASHIKILIA MAKALIO NA MWALIMU KASHIKA BAKORA? ALICHARAZWA HAMSA NINI?




Kweli kaka umenichekesha khaaaa
 
MBONA HUYU MFUPI (SIJUI NI NANI) KASHIKILIA MAKALIO NA MWALIMU KASHIKA BAKORA? ALICHARAZWA HAMSA NINI?


Hahahahahaaa Mfupi ni Ben Mkapa..Issue nadhani ilikuwa hofu ya yeye kuja kuchapwa maana kesi inaonekana ilikuwa ya huyu Bwana wa suti nyeusi...Warioba kakaa pembeni kwa pozi la SINILIKUAMBIA??!!!
 
Dah pic zimenivutia hata heshima ya viongozi inaonekana,sio sasa ukiona picha zao tu na harufu ya ufisadi inajaa!
 
MBONA HUYU MFUPI (SIJUI NI NANI) KASHIKILIA MAKALIO NA MWALIMU KASHIKA BAKORA? ALICHARAZWA HAMSA NINI?




Kweli kaka umenichekesha khaaaa

Enzi za Mwalimu mikono nyuma...siku hizi kama sio mfukoni basi kiunoni...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…