Nyerere na dhulma kwa Zanzibar

Nyerere na dhulma kwa Zanzibar

Kwanza mnatakiwa
muwe na adabu mmefaidi matunda ya watanganyika kwa miaka zaidi ya 50 leo
mnajifunua. Tutawakatia umeme ili muwe na adabu nyie. Hivi wanzibar
mnazalisha nini mpaka kiingie kwenye muungano zaidi uvivu mlionao.
Tukijitoa huko lazima mfe njaa au mnafikiri mtakula karafuu jitazameni
tena.


ikiwa umeishi nyumba ya kupanga miaka mingi tu umevumilia matusi na kejeli zote ,sasa umejenga nyumba yako ,utaendelea kusubiri ruksa ya mwenye nyumba akuruhusu kuhamia nyumba yako ? tumia akili kidogo utapata jibu
 
UNAJUA Mzee Karume alipokuwa hai alikuwa hataki masuala ya fedha na sarafu kuwa ya Muungano. Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kumtuma Waziri wake wa Fedha, Amir Jamal kuja Zanzibar lakini Mzee Karume alikataa kutoa fedha za Zanzibar kwenda Bara kwenye Benki Kuu. Nukuu ya Mama Fatma Karume!!!!!!!

Hii ilikuwa ni muendelezo wa Mwalimu Julius Nyerere kuwafanyia dhulma waznz haingii akilini vijipesa vya watu wachache kuviunganisha na Tanganyika hii ni aibu kubwa kwa mtu anaejifanya mtetezi wa wanyonge kwa wale wenzetu wa Tanganyika wanataka kumpa hadhi ya mtakatifu. duh inasikitisha sana, wadau naomba mjadala kwa hili je Mwalimu Aliwatendea Haki Wa Zanzibar? au Tz tunapenda tu kusifia chongo!

Ulikuwepo? Lete evidence ya kukataa kwa Karume ili kuthibitisha hoja yako. Hlili si jukwaa la majungu
 
it doesnt matter pesa tulipo ipata popote pale lakini nyerere aliiteka nyara na kuipeleka tanganyika

mkuu usiamshe yaliolala, wewe inaonekana hujui kilojiri baina ya znz na tanganyika, unadhani sisi tukilalalmika inakuwa niushabiki tu?

Sasa si muandamane kwenda Butiama mkadai hizo pesa? Kwasababu inaonekana hamna uchungu na hizo pesa bali na Nyerere. Hayo yaliyolala si yameshaoza. Kila zama na historia yake. Watu tunazungumzia mambo ya karne hii nyie bado mko karne ya 19. Mnatamani waarabu warudu kuwatawala sana kwani hakuna mnachofikiri zaidi ya kuishi kama mko mashariki ya kati. Hoja zenu ni sawa na zile za baadhi ya waafrika wanaoandamana kudai fidia ya biashara ya utumwa walofanyiwa babu wa babu zao wakidhani hiyo fidia itamaliza matatizo waliyonayo. Poleni sana!
 
Nyinyi Urojo!!.. mkomeni Mwalimu Nyerere. Pelekeni uzoba wenu huko na huyo nani sijui mama nani!. Laana ya ubaguzi ndio inawasumbua, kama sio Mwalimu Nyerere huko kwenu kungekuwa na Jeshi la UN kuja kuwaamua kwa jinsi mngechapana. Tena sisi ndio tungekuja kwa kofia ya UN, sasa Mwalimu kawaunganisha na sisi mle bata leo mnamsimanga!!. Nampongeza Balozi Karume kwa juhudi kubwa za kusema Ukweli. japo natofautiana nae kwenye maoni ya muundo wa muungano. Ongera Balozi Karume, elewesha hao bigiji.
 
UNAJUA Mzee Karume alipokuwa hai alikuwa hataki masuala ya fedha na sarafu kuwa ya Muungano. Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kumtuma Waziri wake wa Fedha, Amir Jamal kuja Zanzibar lakini Mzee Karume alikataa kutoa fedha za Zanzibar kwenda Bara kwenye Benki Kuu. Nukuu ya Mama Fatma Karume!!!!!!!

Hii ilikuwa ni muendelezo wa Mwalimu Julius Nyerere kuwafanyia dhulma waznz haingii akilini vijipesa vya watu wachache kuviunganisha na Tanganyika hii ni aibu kubwa kwa mtu anaejifanya mtetezi wa wanyonge kwa wale wenzetu wa Tanganyika wanataka kumpa hadhi ya mtakatifu. duh inasikitisha sana, wadau naomba mjadala kwa hili je Mwalimu Aliwatendea Haki Wa Zanzibar? au Tz tunapenda tu kusifia chongo!
Nyerere ni DHULUMATI na DIKTETA mkubwa!
 
Back
Top Bottom