Sasa nyinyi mnabisha kuwa Sh 4 mil zinaweza kujenga darasa jamani?Wenzenu huko wamefanya upembuzi yakinifu na hizo ndo hesabu walizokuja nazo na pesa wamekabidhiwa kuanza ujenzi...au mnafikiri hesabu zimetoka hewani?So ndo maana hata mbunge wao hajasema
pesa kidogo anajua kuwa inawezekana tu kukamilisha ujenzi kwa mil 4.Mimi na wewe tusubiri tuone ni majengo ya namna gani hayo ya milioni 4.