Spear
JF-Expert Member
- Jun 21, 2008
- 507
- 28
Mkuu MAMA MIA nakupa mfano mmoja kuna wakati fulani nilikuwa naongea na muengereza mmoja katika mazungumzo yetu tukagusia maswali ya Afrikana akanambia kuwa nyinyi wafrika mnakuwa na haraka sana na mnavamia mambo na akasemakuwa mabadiliko yoyote yanachukuwa wakati sasa unapokuja kwa Jk amekuwa makini kwa hali iliyojitokeza hivi sasa kwani ikiwa atapuruchuka na kufanya maamuzi tu kuna uwezekano yakatokea matokeo tusiyo yatarajia Rais ni mtu wakupongezwa na atafanikiwa hilo halina shaka na wengi hapa watakuja shanga ni vipi ameweza kuliongoza taifa hili na kulipa ubora wa maisha katika mataifa ya afrika kilakitu kinachukuwa muda na hilo litaoneka pale atakapo maliza kipindi chake cha pili 20015Rais jk amekuwa mstari wa mbele kupigana na ufisadi na ndio leo hii linazungumzwa wazi wazi na amepiga hatuwa kubwa kurekebisha hilo na limekuwa likionekana hata kwa mataifa wahisani na wao kukubali kazi yake Rais kuwa ni yakupigiwa mfano katika ulimwengu ingesaidia kama John Malecela angeweza kulieleza hilo kwa wananchi wakati alipokuwa akitowa maoni yake haya Hongera Rais JK kwa msimamo wako imara zidi ya Mafisadi
mkuu spea
kuzungumza waziwazi bila kufanyia kazi hakuna maana hata kidogo na ndio maana wasiojua wanabwatuka na hongera kwa jk!!!!!leo hii kama wanaongelewa na bado wanaendelea kuiba sioni umuhimu wake!!!!natumaini utamshauri aache blaablaaah