stringerbell
Member
- Feb 19, 2010
- 86
- 0
na babu yako aliyekuwepo kipindi Nyerere anaongoza alikaa kimya tu kuona JKN anafanya hayon yote? baba au babu yako walikuwa wapi mpaka wanamuachia mtu dikteta kushika nchi?
however, hujasema ali 'dikteta' nini! kuna uwezekano mpaka leo hii amekufa haujamwelewa alikuwa anataka nini! ikiwa hivyo mkuu napata shida, kuwa JKN brain was 15yrs ahead of you...LOL!
well mr weberoya unajua maana ya udikteka ?wazee hawakuweza kusema kitu kutokana na kwamba wakati wa kipindi chake ukitoa maoni yoyote yanyohusu nchi unaitwa mhaini na kutiwa ndani .even if you were not threat to a national security.kuna viongozi walikuwa wanataka kudebet kuhusu masuala ya muungano and you know what he did .he fired them.dictator nyerere was a hero to an idiot like you who live in the village.