Nyerere alitamka haya

Tunamsifia sana Nyerere bure. Yeye ndiye amesababisha matatizo ambayo tunayo sasa. Tumekuwa wapumbavu kwa ajili yake hadi watu wawili tu wanatupelekesha na kutuburuza
Unataka tumsifie nani? Tatizo unaweza kuwa hujui hata kaifanyia nn nchi ndio maana unaona watu wanamsifia bure.
 
Nyerere aliwahi kusema,Watu hawapelekewi maendeleo, maendeleo wanajitafutia wenyewe. Nyerere ameletaje huo umaskini? Ulitaka nani awe rais wa kwanza kipindi hicho nchi inapata Uhuru ilikua na Mainjinia wawili tu.
 
Yani Huyu jamaa alikuwa mbinafsi kabisa. He was divisive. Huu ukanda na ukabila sijui wachaga hawafai kutawala ni yeye. Nyerere alikuwa Saddist na athari yake inaonekana sasa hivi.
Nyerere Saddist.?
Unaelewa maana ya saddist.?
Duuuh..
 
Ikiwa ni equal kwa nini Tanganyika ikajivisha koti la muungano? Hio equal iko Wapi kwa washirika? Yale yasio ya muungano kwa Tanganyika anafanya bila ya kuzuizi wakati zanzibar a napata vizuizi.

Bila ya Tanganyika hakuna equally
 
Ikiwa ni equal kwa nini Tanganyika ikajivisha koti la muungano? Hio equal iko Wapi kwa washirika? Yale yasio ya muungano kwa Tanganyika anafanya bila ya kuzuizi wakati zanzibar a napata vizuizi.

Bila ya Tanganyika hakuna equally
Tanganyika ni marehemu siku nyingi ndio maana tunaulinda Muungano wetu adhimu kwa gharama yoyote, kwa sababu Tanzania ndio iliyopo na kelele zikizidi tunakwenda kwenye serikali moja, watu hata kukohoa mtashindwa!

P
 
Labda huko tanganyika ndio mtakapo kohoa,saiv wazanzibar wanadai zanzibar yao wazi wazi licha ya kudhibitiwa na vifaru vya tanganyika,mauwaji ya wazanzibar tokea 1964 na mpaka leo hii wazanzibar hawajarudi nyuma,wauweni wazanzibar wote lakini minazi na mikarafuu itaidai zanzibar.
 
Nakala zako mimi hazinisaidii kitu, kwa sababu wewe ni mwanasiasa wa chama fulani na unasimamia maslahi yako na chama.

Unaposema serikali moja tayari nimekufahamu wewe upo position gani.
 
Loooh, huyo Nyerere aliweza kuyafanya yote hayo?
He must have been exceptional! Inaonekana Nyerere hakuwa mtu wa kawaida yule.
Na zaidi ya yote hayo, hata baada ya yeye kuondoka miaka kadhaa, kaendelea kushikilia akili za hawa watu, (isipokuwa wachache tu) ambao hawawezi kuufukuza mzimu aliouacha Nyerere!

Bila shaka Nyerere mwenye uwezo huo wote, siku moja tutamkuta amerudi tena pale Ikulu! Sijui hawa wanaoendelea kuumizwa na mzimu wake hivi watakwenda kujificha wapi asipoweza kuwafikia.
 
Huyo sio mchaga, ana sababu zake za kudai hivyo hapa. Kuhangaika na mtu kama huyo ni kama kumpiga chura teke. Unamwongezea spidi asiyostahili.
 
Mwalimu alishasema anamabaya yake na mazuri yake
Tubebe mazuri mabaya tuyaache, tuendeleze alipoishia
Kwa kiasi chake mwalimu alijitahidi sana,
 
Sisi hatujapoteza sovereignty yetu nyinyi ndio msoitaka yenu yetu ipo (SMZ) naitaendelea kuwepo mnanishangaza sana mnapoukana hadharani u TANGANYIKA wenu

Tume zote zilizoundwa zimependekeza uwepo mfumo wa Serikali Tatu miungu watu bado wanangangania mfumo ambao umefeli na kila mmoja anajua hilo

Mujue kwamba utaifa wetu hautamezwa kamwe e
o
 


Vatican City siyo sovereign.

Sovereign ni Holy Sea/ Holy Chair ya Papa.

Kile kiti cha Papa ndicho chenye mamlaka ya kidola.
 
Unataka tumsifie nani? Tatizo unaweza kuwa hujui hata kaifanyia nn nchi ndio maana unaona watu wanamsifia bure.


Aliwatia uoga wa tz washindwe kujitambua, uoga ni ugonjwa unaowaathiri wa tz hadi hii leo.

Wewe umesikia wapi katika dunia ya wastaarabu Kiongozi mkuu anataka mtendaji wake avute bangi kwa siri ili aweze kutekeleza kazi yake!!😫😫, hapo Watz wapo kimya kabisa kusema na wanaona sawa🤔🤔.

Kulima Bangi ni kosa la jinai sembuse kuivuta!!, mtu aliyepewa dhamana na Wananchi kulinda sheria huyo ndiye wa kwanza kuhamashisha wengine wavunje!!, Je yeye, kwa kadhia hiyo, hatuwezi kumtilia shaka kama huwa haonji?!, Ilitakiwa alazimishwe na Watz kujiuzulu kwa sababu ni hatari kuwa na Wakuu wasioheshimu sheria isitoshe wanahamashisha kuivunja.

Lakini Watz wanaweza??, huo ndio ugonjwa wa uoga tulioambukizwa na Nyerere na ukaitwa "Amani na utulivu".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…