mwekwa ntandu
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 944
- 2,191
Unafikiri itatuchukua miaka mingapi kufikia ustaarabu huu
Mawazo ya kinyumbu nyumbu hovyo kabisa, ina maana Africa yote inaongozwa na CCM? Huko Syria kunaongozwa na chadema?Tunaweza tukaanza kufikia huko hata leo ikiwa CCM yote ikifa hata muda huu. Was%$#*(#i wakubwa hawa wametuhariba nchi nzuri yenye kila kitu tuliyopewa na Muumba.
Ila kuna nchi nyingi tu afrika zina maendeleo makubwa kuliko sisi na zimetuacha mbali sana na hawajakumbatia vyama tawala vya aina mojaMawazo ya kinyumbu nyumbu hovyo kabisa, ina maana Africa yote inaongozwa na CCM? Huko Syria kunaongozwa na chadema?
Wanarithishana tu madaraka ila maendeleo zeroTunaweza tukaanza kufikia huko hata leo ikiwa CCM yote ikifa hata muda huu. Was%$#*(#i wakubwa hawa wametuhariba nchi nzuri yenye kila kitu tuliyopewa na Muumba.
Kuna nchi nyingi tumeziacha mbali hapa Africa, nao unailaumu CCM?Ila kuna nchi nyingi tu afrika zina maendeleo makubwa kuliko sisi na zimetuacha mbali sana na hawajakumbatia vyama tawala vya aina moja
ZitajeKuna nchi nyingi tumeziacha mbali hapa Africa, nao unailaumu CCM?