Nyarandu kumuondoa Dr Nzuki?

Nyarandu kumuondoa Dr Nzuki?

Hili ndio tatizo la watanzania wengi na wavivu wa kufikiri na kuchanganua mambo. Katika mamlaka na taasisi nyingi nchini watendaji na hasa viongozi wameoza, lakini inapotokea waziri anapoamua kusafisha ili kuweka mambo sawa watu wanaanza kumshambulia na wengine kuweka hisia za uonevu na ubabe. Nani hafahamu Dk. Mwakyembe alivyoshambulia kwa kumuondoa Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Efraim Mgawe ambaye madudu yake yalikuwa yanatia kichefuchefu mbele ya dunia. Inaingilia akilini kwa TPA miaka yote wateja kulipia fedha dirishani? meli kukaa zaidi ya mwezi bila kupakua mizigo, wizi wa vifaa vya magari kama vioo, redio, power window na ilifika mahali hadi tairi zinazovuliwa bila hofu. Lakini yote hayo baada ya Mgawe kuondoka imekuwa historia sasa unaweza kuagiza gari ukaweka hata dola 100 kwa kuitegesha na ukaikuta ndani.
NOTE: Tuwe wakweli pale TTB kuna uvundo ambao kila mwenye akili anapaswa kuuondoa na si Nyalandu pekee. TTB inafanya kazi gani ya kutangaza utalii, tunasahau kashfa ya matangazo ya utalii nje ambayo mabilioni ya shilingi yalipigwa. Why Kenya na vinchi vingine vidogo vinatushinda kwa kuwa na idadi kubwa ya watalii kuliko Tanzania? Kazi yao kubwa ni kubebana na mahawara zao kwenda kwenye maonyesho ya kimataifa ulaya wakiwa wamebeba vipeperushi 50, tuache mambo ya ajabu ya kulea watendaji wabovu na wanaotufanya tuwe nyuma kimaendeleo muda wote. Bravo Nyalandu.
 
Hili ndio tatizo la watanzania wengi na wavivu wa kufikiri na kuchanganua mambo. Katika mamlaka na taasisi nyingi nchini watendaji na hasa viongozi wameoza, lakini inapotokea waziri anapoamua kusafisha ili kuweka mambo sawa watu wanaanza kumshambulia na wengine kuweka hisia za uonevu na ubabe. Nani hafahamu Dk. Mwakyembe alivyoshambulia kwa kumuondoa Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Efraim Mgawe ambaye madudu yake yalikuwa yanatia kichefuchefu mbele ya dunia. Inaingilia akilini kwa TPA miaka yote wateja kulipia fedha dirishani? meli kukaa zaidi ya mwezi bila kupakua mizigo, wizi wa vifaa vya magari kama vioo, redio, power window na ilifika mahali hadi tairi zinazovuliwa bila hofu. Lakini yote hayo baada ya Mgawe kuondoka imekuwa historia sasa unaweza kuagiza gari ukaweka hata dola 100 kwa kuitegesha na ukaikuta ndani.
NOTE: Tuwe wakweli pale TTB kuna uvundo ambao kila mwenye akili anapaswa kuuondoa na si Nyalandu pekee. TTB inafanya kazi gani ya kutangaza utalii, tunasahau kashfa ya matangazo ya utalii nje ambayo mabilioni ya shilingi yalipigwa. Why Kenya na vinchi vingine vidogo vinatushinda kwa kuwa na idadi kubwa ya watalii kuliko Tanzania? Kazi yao kubwa ni kubebana na mahawara zao kwenda kwenye maonyesho ya kimataifa ulaya wakiwa wamebeba vipeperushi 50, tuache mambo ya ajabu ya kulea watendaji wabovu na wanaotufanya tuwe nyuma kimaendeleo muda wote. Bravo Nyalandu.
...............Mkuu uko sahihi...ni kweli taasisi nyingi saana za serekali zimeoza........lakini unakosea pale unaposifia kufukuzwa kwa mtu bila kuingia kwenye undani wa kitu.............yes kazi ta TTB ni kutangaza utalii wa Tanzania Ndani na nje ya nchi.........TATIZO kubwa la TTB ni mfumo p[amoja na ufinyu wa budget......Tambua kuna shughuli nyingi saana za TTb zinaendeshwa kwa hisani ya Ngorongoro NA TANAPA.............TTB wanaupungufu mkubwa wa wafanyakazi.......budget ya kila mwaka ni ndogo......alichokifanya NZUKI alipendekeza TTB iwe taasisi HURU kama TCRA na EWURA...walifanya utafiti...na wakakuta hata SOUTH AFRICA iko hivyo......na walipendekeza baadhi ya UNIT ambazo ziko chini ya Idara ya UTALII zihamie kwenye hiyo taasisi mpya........na walipendekeza na wafanya kazi wangehamishwa........tambua kwa kufanya hivyo TTB ingekuwa na vyanzo vyake huru vya mapato kama ilivyo TCRA na EWURA.......wazee wa wizara wakaona......wananyimwa ulaji uiondoe TALA wizarani...........ndio ugomvi ukaanzia hapo............uozo wa pesa ulitokea kipindi cha MWENGUO(RIP) na sio cha Nzuki na pesa nyingi waliochangia walikuwa ni NGORONGORO na TANAPA...........Kenya wanatengewa fungu la kutosha wana KENYA AIRWAYS...hii inasaidia package tour zao kuwa affordable kuliko za kwetu......watalii from generating countries kama China hawawezi kuja TZ moja kwa moja mpaka wapiti nchi ya pili......hili na lanyewe ni factor kubwa......kabla ya timua timua...NYALANDU angetakiwa ajipange kimfumo mkwanza.....
 
Ikiwezekana......pia waende Caribbean na kwingineko ambako Utalii wanafanya vyema ili kutafuta mtu (hata kama ni foreigner)....ili atuwekee mikakati imara ya kukuza Utalii nchini.......there is a lot of money kwenye sekta ya Utalii....sisi bado tumelala.......hii mambo ya kujuana iwekwe pembeni kidogo.....
I agree with you, hii sector ni muhimu sana na ina nafasi kubwa hata ku-triple mapato yake, so if it's necessary for a foreigner to run it, let it be ikiwa tutakosa Mtanzania mwenye sifa! But am still thinking of those Caribbean guys, ni kweli they're good in tourism industry but my concern ni kwamba they might be too good for beach tourism than wildlife tourism ambayo ndiyo kuu Tanzania. Hata hivyo, I still believe kwamba tunahitaji pia expert in beach tourism hata kama hatakuwa Head of the Board. I think the economic impact(positive) for beach tourism is much higher as compared to wildlife tourism. So, if we'd experts in this area as well, nadhani tungekuwa mbali maradufu, keeping other factors constant!
 
kutoka twitter page ya Mh. Nyalandu
"Tanzania Tourist Board's CEO, Aloyce Nzuki is relieved of his this duties following the Board's decision today. Search for new CEO underway".
Naona kama anawaogopa Ma Profesa na Ma-Dr wa ukweli wasiwe chini ya uoungozi wake. Labda ndio kujikweza na kutaka misifa.
 
Mkuu Divele, kwanza huu ni uongo mkubwa mtakatifu!, kwenye utendaji wa serikali, kuna mamlaka tofauti kwa majukumu tofauti!, wale wakurugenzi walikuwa chini yake direct, na walikuwa wanawajibika kwake!, TTC ni taasisi inayojitegemea, ingawa iko chini ya wizara yake, TTB haiwajibiki kwake, ina bodi yake yenye mamlaka kamili!.

Mamlaka ya uteuzi wa Mkurugenzi wa TTB ni rais wa JMT kwa mapendekezo ya waziri husika baada ya kupokea majina kutoka kwenye bodi ya TTB, hivyo mamlaka na nidhamu ya Mkurugenzi wa TTB sio waziri bali ni bodi, na mwisho wa uwezo wa bodi hiyo ni kumsimamisha tuu,kusubiria mamlaka ya uteuzi kumfuta kazi!.

Pili kama ni kweli Mkurugenzi wa TTB kesho atafutwa kazi, then itakuwa ni kufutwa kazi kwa sababu nyinginezo na sio hiyo ya AHIF!.

Naamini kabisa Waziri Nyalandu, pamoja na kupenda sana masifa na media attention!, sio kichaa!.

Pasco
Hatimaye Kichaa kamfukuza kazi Daktari jana!
pasco do you stick on your words?
 
Last edited by a moderator:
Yani nisome, nifanye kazi yangu, mjinga mmoja alete longolongo, lazima nimuendelee kwa babu. wanasiasa wako selfish sana, wanachowaza wao ni vipi watalinda nafasi zao walizopendelewa kuzipata, unamfukuza mtu kirahisirahisi tena kwa kumtangaza kwenye media ili mtoto, mke, ndugu, jamaa, marafiki, majirani na wananchi kwa ujumla wajue jamaa hawezi kufanya kazi, inakujaje? sheria za kazi zinasemaje? Key performance indicators (KPI) zilikuwa set, zilikuwa measured, kama aliunderperform what measures were taken to make him improve? sheria ya za kazi zinaongelea kuhusu issue ya underperformance na ways to curb, angetuambia hizo tuelewe vizuri vinginevyo mi naona sifa za kijinga hizo. HAwa viongozi wetu hawa, maprofesor hawawezi kazi, na huyu daktari nae hawezi kazi, kwakeli mimi nidhani kama issue ni underperformance, there is something behind. Tatizo kubwa watumishi wa umma wamejengwa kuogopa kufichua maovu coz watashughulikiwa na ni kinyume cha viapo vyao vya kutunza siri za serikali, lakini kama viongozi wetu ndo wa namna hii mi ningechukua misemo miwili maarufu na kuiimplement, ule wa Mwaki 'ntafyatuka' na ule wa pinda ' liwalo na liwe'
 
.................alichokifanya NZUKI alipendekeza TTB iwe taasisi HURU kama TCRA na EWURA...walifanya utafiti...na wakakuta hata SOUTH AFRICA iko hivyo......na walipendekeza baadhi ya UNIT ambazo ziko chini ya Idara ya UTALII zihamie kwenye hiyo taasisi mpya........na walipendekeza na wafanya kazi wangehamishwa........tambua kwa kufanya hivyo TTB ingekuwa na vyanzo vyake huru vya mapato kama ilivyo TCRA na EWURA...........

........hilo sio suluhisho la uozo wa kuto-perform kwa utalii Tanzania......ni incompetence tu.......hii mambo ya kufikiri kwa ku-cut & paste si mambo ya kukumbatiwa sana.......
 
Mkuu Divele, kwanza huu ni uongo mkubwa mtakatifu!, kwenye utendaji wa serikali, kuna mamlaka tofauti kwa majukumu tofauti!, wale wakurugenzi walikuwa chini yake direct, na walikuwa wanawajibika kwake!, TTC ni taasisi inayojitegemea, ingawa iko chini ya wizara yake, TTB haiwajibiki kwake, ina bodi yake yenye mamlaka kamili!.

Mamlaka ya uteuzi wa Mkurugenzi wa TTB ni rais wa JMT kwa mapendekezo ya waziri husika baada ya kupokea majina kutoka kwenye bodi ya TTB, hivyo mamlaka na nidhamu ya Mkurugenzi wa TTB sio waziri bali ni bodi, na mwisho wa uwezo wa bodi hiyo ni kumsimamisha tuu,kusubiria mamlaka ya uteuzi kumfuta kazi!.

Pili kama ni kweli Mkurugenzi wa TTB kesho atafutwa kazi, then itakuwa ni kufutwa kazi kwa sababu nyinginezo na sio hiyo ya AHIF!.

Naamini kabisa Waziri Nyalandu, pamoja na kupenda sana masifa na media attention!, sio kichaa!.

Pasco

Nyalandu sacks Tanzania Tourism Board CEO

Tanzania's new Minister for Natural Resources and Tourism, Lazaro Nyalandu, swung the axe again when in a surprise move he sacked the Chief Executive of the Tanzania Tourist Board, Dr. Aloyce Nzuki, accusing him of poor performance and of his position having become "untenable," political slang for being put to the sword for very likely internal wrangling, power games, or worse even, a vendetta.

From usually well-informed circles it was learned that it was apparently the Board of Directors of TTB which stuck the knife into Nzuki's back by reportedly writing to the Minister and demanding Dr. Nzuki's dismissal, which the minister, after consulting with his senior staff, agreed to. While it appears that Dr. Nzuki has been thrown a sort of a lifeline with the possibility of redeployment within the ministry, this seems unlikely following the éclat this decision has caused and the embarrassment he suffered at the hands of his board baying for his blood and the minister willingly giving it to them.

Only a month ago Nyalandu had sacked his Director Prof. Alex Songorwa and Deputy Director for Wildlife Prof. Jafferi Kidegesho just weeks into his term as substantive cabinet minister, after serving previously as Assistant Minister.

Contacts in Dar es Salaam are tightlipped right now, with some on condition of strict anonymity saying that Tanzania's performance at the just ended ITB may have played a role where Rwanda won the first prize as best African exhibitor, followed by Burundi and Kenya taking the two runner up positions.

Ms. Mdachi was immediately made Acting CEO of the Tanzania Tourist Board while the board of directors was given instructions to immediately begin the recruitment process for a new substantive CEO, with just 21 days allowed by the minister. The ministry is on record confirming that the final selection will be done from among the three selected top choices for a final appointment.

Another source based in Arusha, surprised by the breaking news, suggested that there might be more sackings ahead, in both the wildlife department and other departments under the ministry like forestry as the fight against poaching is slowly gaining momentum again.

Nyalandu sacks Tanzania Tourism Board CEO - eTurboNews.com



 
Hapa kuna mambo mawili. La kwanza ni uwezo na uthubutu wa Viongozi kuwajibishana. Hili ni jambo ambalo tumelikosa sana nchini kwetu, na ukosefu wa uthubutu huu umeigharimu nchi yetu kwa kiasi kikubwa.Kama taratibu zimefuatwa basi hiyo ni hatua moja muhimu.

La pili hata kama sheria zimefuatwa, kama kuna uonevu wa aina yoyote hilo nalo ni tatizo. Kushindwa kuleta mkutano Tanzania haiwezi kuwa sababu ya kumfukuza mtu kazi. Maana najua tuna OPRAS na mifumo mingine ya kuwapima watendaji wetu, ni vema hiyo ikatumika.Sina sababu ya kuitetea perfomance ya TTB, lakini ni vema uma ukafahamu ni kwa kiasi gani utendaji dhaifu wa bodi ya utalii unatokana na uwezo duni wa Dr. Nzuki na si siasa, au ufinyu wa bajeti na mambo kama hayo.
 
Siyo kumwondoa Bali amfukuze kamwambie aliye kutuma kupost hapa hakuna huruma kwetu
 
...............Mkuu uko sahihi...ni kweli taasisi nyingi saana za serekali zimeoza........lakini unakosea pale unaposifia kufukuzwa kwa mtu bila kuingia kwenye undani wa kitu.............yes kazi ta TTB ni kutangaza utalii wa Tanzania Ndani na nje ya nchi.........TATIZO kubwa la TTB ni mfumo p[amoja na ufinyu wa budget......Tambua kuna shughuli nyingi saana za TTb zinaendeshwa kwa hisani ya Ngorongoro NA TANAPA.............TTB wanaupungufu mkubwa wa wafanyakazi.......budget ya kila mwaka ni ndogo......alichokifanya NZUKI alipendekeza TTB iwe taasisi HURU kama TCRA na EWURA...walifanya utafiti...na wakakuta hata SOUTH AFRICA iko hivyo......na walipendekeza baadhi ya UNIT ambazo ziko chini ya Idara ya UTALII zihamie kwenye hiyo taasisi mpya........na walipendekeza na wafanya kazi wangehamishwa........tambua kwa kufanya hivyo TTB ingekuwa na vyanzo vyake huru vya mapato kama ilivyo TCRA na EWURA.......wazee wa wizara wakaona......wananyimwa ulaji uiondoe TALA wizarani...........ndio ugomvi ukaanzia hapo............uozo wa pesa ulitokea kipindi cha MWENGUO(RIP) na sio cha Nzuki na pesa nyingi waliochangia walikuwa ni NGORONGORO na TANAPA...........Kenya wanatengewa fungu la kutosha wana KENYA AIRWAYS...hii inasaidia package tour zao kuwa affordable kuliko za kwetu......watalii from generating countries kama China hawawezi kuja TZ moja kwa moja mpaka wapiti nchi ya pili......hili na lanyewe ni factor kubwa......kabla ya timua timua...NYALANDU angetakiwa ajipange kimfumo mkwanza.....

Nakubaliana na wewe! Mifumo ndio inayotuangusha...
 
I agree with you, hii sector ni muhimu sana na ina nafasi kubwa hata ku-triple mapato yake, so if it's necessary for a foreigner to run it, let it be ikiwa tutakosa Mtanzania mwenye sifa! But am still thinking of those Caribbean guys, ni kweli they're good in tourism industry but my concern ni kwamba they might be too good for beach tourism than wildlife tourism ambayo ndiyo kuu Tanzania. Hata hivyo, I still believe kwamba tunahitaji pia expert in beach tourism hata kama hatakuwa Head of the Board. I think the economic impact(positive) for beach tourism is much higher as compared to wildlife tourism. So, if we'd experts in this area as well, nadhani tungekuwa mbali maradufu, keeping other factors constant!
To Ogah, Nas na wengineo,
Tatizo la Tanzania katika kufikia malengo ya utalii ni mambo mengi ambayo yapo nje ya uwezo wa TTB, zaidi ya TTB kujikita kwenye matangazo na vipeperushi, kwa mfano hapo Dar garden zetu na coastal area ni chafu, na ujue kuna watalii wa aina nyingi, Pili hizi barabara zetu zenye kumuweka mtu masaa matatu toka sehemu moja ya mji mpaka nyingine, gharama za uendeshaji kutokana na taarifs za umeme, mishahara midogo kwa wafanyakazi katika mahoteli, uwanja wa ndege kama immigration na customs , nauli za ndege toka nchi husika kuja bongo, na infact hiyo hela ya matangazo, kuna mlolongo mkubwa wa walaji ambao wana influence kuliko mkurugenzi wa ttb, wanaotaka hiyo hela ipitie au ilipwe kwa watu wao, culture ya board zetu kumtumia mkurugenzi kama mgodi wao akienda kinyume una zushiwa in efficiency etc. ni ngumu kwa competent person kufanya kazi bongo under influence ya wana siasa.
 
Watanzania ni wavivu na hawapendi kuwajibishwa...hii haiji akilini eti Rwanda washinde kwenye maonyesho halafu Kenya na Burundi....hivi hapo mtu akiwajibishwa watu mnapiga kelele kaonewa???hongera Nyalandu ilitakiwa na mawaziri wengine waige...uvundo wa wafanyakazi bongo unaanzia juu kwenda chini watu hawafanyanyi kazi halafu hawataki kuwajibishwa kujitetea kwao eti budget finyu!!!!
 
Alipoteuliwa Dr. Nzuki.....Taifa lilikuwa na matarajio ya kubadilika hali ya Utalii nchini kuwa very positive......kinyume chake ikawa ni malalamiko na mishemishe kila kukicha........

Watanzania ni mabalozi wazuri sana popote walipo ulimwenguni.....tatizo Bodi imeshindwa kuweka mikakati kutumia hata jumuiya za Kitanzania zilizo kujitangaza.......leo hata uulizie footage ya Utalii Tanzania kutoka Ubalozini.....huwezi kupata kitu.......Bodi wanataka kusafiri wao tu na timu za marafiki wao........huku mazingira ya Utalii nchini ni mabovu.........TRUST me kama Dr. Nzuki alikuwa na mashiko kwenye nafasi yake usingeshuhudia hatua iliyochukuliwa.......
 
Kama huyo Dr.Nzuki kakosea ni sawa akifukuzwa..huku kuoneana aibu na kufichana na kubebana ndo kumelifanya hili taifa lisipige hatua...igeni kwa Paul Kagame hacheki cheki na wavivu au mafisadi..Kwa hili Mh. Nyalandu hongera sana kwa kuondoa uvundo.

Kwanza huyo Nzuki ni Mtutsi, aende kwa kagame au Burundi akafanye uzembe kama aliokuwa anafanya hapa Tz KAMA ATAPONA. Wapo wengi walijipenyeza katika system na sasa ni zamu yao operesheni kimbunga kwa viongozi wasio wazawa. Big up Bodi!, Big up! Waziri! Big up mamlaka ya uteuzi kwa kutoa go ahead huyu bwana aondoke.:A S embarassed:
 
Kwanza huyo Nzuki ni Mtutsi, aende kwa kagame au Burundi akafanye uzembe kama aliokuwa anafanya hapa Tz KAMA ATAPONA. Wapo wengi walijipenyeza katika system na sasa ni zamu yao operesheni kimbunga kwa viongozi wasio wazawa. Big up Bodi!, Big up! Waziri! Big up mamlaka ya uteuzi kwa kutoa go ahead huyu bwana aondoke.:A S embarassed:

Post imeharibu uzi mzuri uliokua na shule

Let's focus kwenye mada ukabila kwako kula na mmeo

TTB is failed by the system and staff are helping the organization to fail

The board should set platforms, guidance, strategies and policies na wasimamie sekta... Poa kuangalia avenues za new attraction... Wao kwako bize na vipeperushi, maonesho na vijineno neno

They need an overhaul na kazi zote zitangazwe
 
Back
Top Bottom