Nyarandu kumuondoa Dr Nzuki?

Nyarandu kumuondoa Dr Nzuki?

Joined
May 4, 2010
Posts
77
Reaction score
12
BAADA ya kuwaondoa kwa dhulma wakurugenzi wa idara ya wanyamapori Prof. Songoro na Prof. Kideghesho, uonevu unaendelea taarifa zinasema waziri Nyarandu kesho saa tatu asubuhi ameita waandishi wa habari pamoja na wajumbe wa bodi ya utalii ambapo atatangaza kumuondoa Dr Aloyce K Nzuki katika nafasi ya Managing Director wa TANZANIA TOURIST BOARD kwa kuwa amekasirishwa na kitendo Dr Nzuki kushindwa kuifanya Tanzania kuwa mwenyeji wa Africa Hotel Investment Forum- AHIF 2014!!!?
 
Safi sana,kama ameshindwa kazi,aachie ngazi,hapo naona waziri yupo sahihi.
 
kama anataka kumuondoa kwa hoja hiyo ni upuuzi mtupu aaache uonezi Nyarandu kumbe hovyo na lililobaya anapenda sana kujikweza kuwa kapata maelekezo toka ikulu..
 
Jamaa anaelekea katika list ya mawaziri mizigo
 
BAADA ya kuwaondoa kwa dhulma wakurugenzi wa idara ya wanyamapori Prof. Songoro na Prof. Kideghesho, uonevu unaendelea taarifa zinasema waziri Nyarandu kesho saa tatu asubuhi ameita waandishi wa habari pamoja na wajumbe wa bodi ya utalii ambapo atatangaza kumuondoa Dr Aloyce K Nzuki katika nafasi ya Managing Director wa TANZANIA TOURIST BOARD kwa kuwa amekasirishwa na kitendo Dr Nzuki kushindwa kuifanya Tanzania kuwa mwenyeji wa Africa Hotel Investment Forum- AHIF 2014!!!?
Mkuu Divele, kwanza huu ni uongo mkubwa mtakatifu!, kwenye utendaji wa serikali, kuna mamlaka tofauti kwa majukumu tofauti!, wale wakurugenzi walikuwa chini yake direct, na walikuwa wanawajibika kwake!, TTC ni taasisi inayojitegemea, ingawa iko chini ya wizara yake, TTB haiwajibiki kwake, ina bodi yake yenye mamlaka kamili!.

Mamlaka ya uteuzi wa Mkurugenzi wa TTB ni rais wa JMT kwa mapendekezo ya waziri husika baada ya kupokea majina kutoka kwenye bodi ya TTB, hivyo mamlaka na nidhamu ya Mkurugenzi wa TTB sio waziri bali ni bodi, na mwisho wa uwezo wa bodi hiyo ni kumsimamisha tuu,kusubiria mamlaka ya uteuzi kumfuta kazi!.

Pili kama ni kweli Mkurugenzi wa TTB kesho atafutwa kazi, then itakuwa ni kufutwa kazi kwa sababu nyinginezo na sio hiyo ya AHIF!.

Naamini kabisa Waziri Nyalandu, pamoja na kupenda sana masifa na media attention!, sio kichaa!.

Pasco
 
Mkuu Divele, kwanza huu ni uongo mkubwa mtakatifu!, kwenye utendaji wa serikali, kuna mamlaka tofauti kwa majukumu tofauti!, wale wakurugenzi walikuwa chini yake direct, na walikuwa wanawajibika kwake!, TTC ni taasisi inayojitegemea, ingawa iko chini ya wizara yake, TTB haiwajibiki kwake, ina bodi yake yenye mamlaka kamili!.

Mamlaka ya uteuzi wa Mkurugenzi wa TTB ni rais wa JMT kwa mapendekezo ya waziri husika baada ya kupokea majina kutoka kwenye bodi ya TTB, hivyo mamlaka na nidhamu ya Mkurugenzi wa TTB sio waziri bali ni bodi, na mwisho wa uwezo wa bodi hiyo ni kumsimamisha tuu,kusubiria mamlaka ya uteuzi kumfuta kazi!.

Pili kama ni kweli Mkurugenzi wa TTB kesho atafutwa kazi, then itakuwa ni kufutwa kazi kwa sababu nyinginezo na sio hiyo ya AHIF!.

Naamini kabisa Waziri Nyalandu, pamoja na kupenda sana masifa na media attention!, sio kichaa!.

Pasco


Afafhali umenisaidia ktk hili...

Nilitaka kufanya critical analysis inakuaje mtu anayeendesha idara inayojitegemea awajibishwe na waziri...

Pili sababu ya kuwajibishwa ni ya kitoto na kijinga sana...

Ila yule bwana anapenda sana sifa yote yanawrzekana ila kwa wizara ile zitajamtokea puani tuu time will tell ngoja tusubiri...
 
mkuu divele, kwanza huu ni uongo mkubwa mtakatifu!, kwenye utendaji wa serikali, kuna mamlaka tofauti kwa majukumu tofauti!, wale wakurugenzi walikuwa chini yake direct, na walikuwa wanawajibika kwake!, ttc ni taasisi inayojitegemea, ingawa iko chini ya wizara yake, ttb haiwajibiki kwake, ina bodi yake yenye mamlaka kamili!.

Mamlaka ya uteuzi wa mkurugenzi wa ttb ni rais wa jmt kwa mapendekezo ya waziri husika baada ya kupokea majina kutoka kwenye bodi ya ttb, hivyo mamlaka na nidhamu ya mkurugenzi wa ttb sio waziri bali ni bodi, na mwisho wa uwezo wa bodi hiyo ni kumsimamisha tuu,kusubiria mamlaka ya uteuzi kumfuta kazi!.

Pili kama ni kweli mkurugenzi wa ttb kesho atafutwa kazi, then itakuwa ni kufutwa kazi kwa sababu nyinginezo na sio hiyo ya ahif!.

Naamini kabisa waziri nyalandu, pamoja na kupenda sana masifa na media attention!, sio kichaa!.

Pasco

ogopa hisia za chuki zikitawala katika utendaji kazi,
lolote huweza kufanyika kwa manufaa ya mtu fulani binafsi.
 
Kama huyo Dr.Nzuki kakosea ni sawa akifukuzwa..huku kuoneana aibu na kufichana na kubebana ndo kumelifanya hili taifa lisipige hatua...igeni kwa Paul Kagame hacheki cheki na wavivu au mafisadi..Kwa hili Mh. Nyalandu hongera sana kwa kuondoa uvundo.
 
Mkuu Divele, kwanza huu ni uongo mkubwa mtakatifu!, kwenye utendaji wa serikali, kuna mamlaka tofauti kwa majukumu tofauti!, wale wakurugenzi walikuwa chini yake direct, na walikuwa wanawajibika kwake!, TTC ni taasisi inayojitegemea, ingawa iko chini ya wizara yake, TTB haiwajibiki kwake, ina bodi yake yenye mamlaka kamili!.

Mamlaka ya uteuzi wa Mkurugenzi wa TTB ni rais wa JMT kwa mapendekezo ya waziri husika baada ya kupokea majina kutoka kwenye bodi ya TTB, hivyo mamlaka na nidhamu ya Mkurugenzi wa TTB sio waziri bali ni bodi, na mwisho wa uwezo wa bodi hiyo ni kumsimamisha tuu,kusubiria mamlaka ya uteuzi kumfuta kazi!.

Pili kama ni kweli Mkurugenzi wa TTB kesho atafutwa kazi, then itakuwa ni kufutwa kazi kwa sababu nyinginezo na sio hiyo ya AHIF!.

Naamini kabisa Waziri Nyalandu, pamoja na kupenda sana masifa na media attention!, sio kichaa!.

Pasco

...Pasco Mkuu umesahau kuwa chochote kinawezekana under utawala huu........Ni nani anaunda Bodi ya Utalii?.......unakumbuka jinsi Mkurugenzi wa Bandari alivyoondolewa?..........
 
BAADA ya kuwaondoa kwa dhulma wakurugenzi wa idara ya wanyamapori Prof. Songoro na Prof. Kideghesho, uonevu unaendelea taarifa zinasema waziri Nyarandu kesho saa tatu asubuhi ameita waandishi wa habari pamoja na wajumbe wa bodi ya utalii ambapo atatangaza kumuondoa Dr Aloyce K Nzuki katika nafasi ya Managing Director wa TANZANIA TOURIST BOARD kwa kuwa amekasirishwa na kitendo Dr Nzuki kushindwa kuifanya Tanzania kuwa mwenyeji wa Africa Hotel Investment Forum- AHIF 2014!!!?

Hii ahif ndo nini? Mkuu tudadavulie
 
...Pasco Mkuu umesahau kuwa chochote kinawezekana under utawala huu........Ni nani anaunda Bodi ya Utalii?.......unakumbuka jinsi Mkurugenzi wa Bandari alivyoondolewa?..........
Mkuu Ogah, nakubaliana na wewe, ndio maana niksema kama boss wa TTB ni wa kuondoka, then ni wa kuondoka kwa mengine!, sio hii sababu iliyoletwa humu!, na atakayemuondoa ni bodi na sio waziri!. Mkurugenzi wa bandari alikuwa ni kuondoka siku nyingi tuu tangu ya le madudu ya Wachina wa CCCC waliomuondoa waziri Nundu na naibu wake, Mfutakamba!.
Pasco
 
...Pasco Mkuu umesahau kuwa chochote kinawezekana under utawala huu........Ni nani anaunda Bodi ya Utalii?.......unakumbuka jinsi Mkurugenzi wa Bandari alivyoondolewa?..........

na amesahau kuwa wizara ni ya maliasili na utalii,na hiyo bodi inaundwa na waziri mwenye dhamana
 
Mkuu Divele, kwanza huu ni uongo mkubwa mtakatifu!, kwenye utendaji wa serikali, kuna mamlaka tofauti kwa majukumu tofauti!, wale wakurugenzi walikuwa chini yake direct, na walikuwa wanawajibika kwake!, TTC ni taasisi inayojitegemea, ingawa iko chini ya wizara yake, TTB haiwajibiki kwake, ina bodi yake yenye mamlaka kamili!.

Mamlaka ya uteuzi wa Mkurugenzi wa TTB ni rais wa JMT kwa mapendekezo ya waziri husika baada ya kupokea majina kutoka kwenye bodi ya TTB, hivyo mamlaka na nidhamu ya Mkurugenzi wa TTB sio waziri bali ni bodi, na mwisho wa uwezo wa bodi hiyo ni kumsimamisha tuu,kusubiria mamlaka ya uteuzi kumfuta kazi!.

Pili kama ni kweli Mkurugenzi wa TTB kesho atafutwa kazi, then itakuwa ni kufutwa kazi kwa sababu nyinginezo na sio hiyo ya AHIF!.

Naamini kabisa Waziri Nyalandu, pamoja na kupenda sana masifa na media attention!, sio kichaa!.

Pasco

Ili uamini Nyarandu ni kichaa subiria
 
BAADA ya kuwaondoa kwa dhulma wakurugenzi wa idara ya wanyamapori Prof. Songoro na Prof. Kideghesho, uonevu unaendelea taarifa zinasema waziri Nyarandu kesho saa tatu asubuhi ameita waandishi wa habari pamoja na wajumbe wa bodi ya utalii ambapo atatangaza kumuondoa Dr Aloyce K Nzuki katika nafasi ya Managing Director wa TANZANIA TOURIST BOARD kwa kuwa amekasirishwa na kitendo Dr Nzuki kushindwa kuifanya Tanzania kuwa mwenyeji wa Africa Hotel Investment Forum- AHIF 2014!!!?

Hivi huyo Nyarandu darasa la ngapi? kama anaogopa wasomi wenye uthubutu vile! Anataka wasomi akina ndiyo mzee.
 
BAADA ya kuwaondoa kwa dhulma wakurugenzi wa idara ya wanyamapori Prof. Songoro na Prof. Kideghesho, uonevu unaendelea taarifa zinasema waziri Nyarandu kesho saa tatu asubuhi ameita waandishi wa habari pamoja na wajumbe wa bodi ya utalii ambapo atatangaza kumuondoa Dr Aloyce K Nzuki katika nafasi ya Managing Director wa TANZANIA TOURIST BOARD kwa kuwa amekasirishwa na kitendo Dr Nzuki kushindwa kuifanya Tanzania kuwa mwenyeji wa Africa Hotel Investment Forum- AHIF 2014!!!?

kutoka twitter page ya Mh. Nyalandu
"Tanzania Tourist Board's CEO, Aloyce Nzuki is relieved of his this duties following the Board's decision today. Search for new CEO underway".
 
kutoka twitter page ya Mh. Nyalandu
"Tanzania Tourist Board's CEO, Aloyce Nzuki is relieved of his this duties following the Board's decision today. Search for new CEO underway".

Ikiwezekana......pia waende Caribbean na kwingineko ambako Utalii wanafanya vyema ili kutafuta mtu (hata kama ni foreigner)....ili atuwekee mikakati imara ya kukuza Utalii nchini.......there is a lot of money kwenye sekta ya Utalii....sisi bado tumelala.......hii mambo ya kujuana iwekwe pembeni kidogo.....
 
Back
Top Bottom