Nyanza Road works ni kampuni ya nani?

Nyanza Road works ni kampuni ya nani?

Zygot

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
2,316
Reaction score
3,120
Kampuni hii inashikilia kiwango kikubwa cha miradi ya makandarasi wazawa ktk ujenzi wa barabara, bila ya kuwa na matokeo mazuri. Kampuni hii ilipigiwa kelele wakati rais akiwa Bunda kwa kutofanyakazi vizuri. Walikimbilia huko na sasa hakuna kinachoenedelea tena. Ikapigiwa kelele kwa kandarasi za Halmashauri ya Temeke DSM. Wakakimbilia huko na kujidai kutibua barabara na sasa kimyaaa!

Takribani kazi nyingi za ujenzi na ukarabati wa barabara za mikoani kila sehemu ni Nyanza. Naomba kufahamu nani anamiliki kampuni hii, ambayo inaonekana kutoguswa na nguvu ya wanasiasa, pamoja na ubora duni wa kazi zao na wingi wa kazi zisizomalizika.
 
Kampuni hii inashikilia kiwango kikubwa cha miradi ya makandarasi wazawa ktk ujenzi wa barabara, bila ya kuwa na matokeo mazuri. Kampuni hii ilipigiwa kelele wakati rais akiwa Bunda kwa kutofanyakazi vizuri. Walikimbilia huko na sasa hakuna kinachoenedelea tena. Ikapigiwa kelele kwa kandarasi za Halmashauri ya Temeke DSM. Wakakimbilia huko na kujidai kutibua barabara na sasa kimyaaa!

Takribani kazi nyingi za ujenzi na ukarabati wa barabara za mikoani kila sehemu ni Nyanza. Naomba kufahamu nani anamiliki kampuni hii, ambayo inaonekana kutoguswa na nguvu ya wanasiasa, pamoja na ubora duni wa kazi zao na wingi wa kazi zisizomalizika.
jiwe
 
Kuna wakati unajiuliza kama sisi waafrika tuko kundi moja na hawa tunaowaita wenzetu wa mabara mengine. Yaani mtu akiingia kwenye uongozi legacy yake ni kuonyesha makampuni aliyoanzisha. Eti GSM, sijui .... oil, nk. kweli hizo ndo legacy za mtu anayepatikana kwa kura za watu milioni 20?

Kama na hii Nyanza ni sehemu ya mafanikio yanayotokana na wanasiasa, basi hakuna haja ya kujiita binadamu ktk afrika hii.
 
Kampuni hii inashikilia kiwango kikubwa cha miradi ya makandarasi wazawa ktk ujenzi wa barabara, bila ya kuwa na matokeo mazuri. Kampuni hii ilipigiwa kelele wakati rais akiwa Bunda kwa kutofanyakazi vizuri. Walikimbilia huko na sasa hakuna kinachoenedelea tena. Ikapigiwa kelele kwa kandarasi za Halmashauri ya Temeke DSM. Wakakimbilia huko na kujidai kutibua barabara na sasa kimyaaa!

Takribani kazi nyingi za ujenzi na ukarabati wa barabara za mikoani kila sehemu ni Nyanza. Naomba kufahamu nani anamiliki kampuni hii, ambayo inaonekana kutoguswa na nguvu ya wanasiasa, pamoja na ubora duni wa kazi zao na wingi wa kazi zisizomalizika.
Ukienda BRELA ukalipia maombi ya ukaguzi utapewa taarifa za kuhusu kampuni hiyo wakiwemo wamiliki. Humu hakuna Wa kukusaidia
 
Kuna wakati unajiuliza kama sisi waafrika tuko kundi moja na hawa tunaowaita wenzetu wa mabara mengine. Yaani mtu akiingia kwenye uongozi legacy yake ni kuonyesha makampuni aliyoanzisha. Eti GSM, sijui .... oil, nk. kweli hizo ndo legacy za mtu anayepatikana kwa kura za watu milioni 20?

Kama na hii Nyanza ni sehemu ya mafanikio yanayotokana na wanasiasa, basi hakuna haja ya kujiita binadamu ktk afrika hii.
Nyanza ilikuwepo long time. Ofisi zake zilikuwa pale Bwiru kabla hata Mwanza barabara hazina rami. Mbona tunapenda sana umbea bila kufanyia kazi taarifa?
 
Kampuni hii inashikilia kiwango kikubwa cha miradi ya makandarasi wazawa ktk ujenzi wa barabara, bila ya kuwa na matokeo mazuri. Kampuni hii ilipigiwa kelele wakati rais akiwa Bunda kwa kutofanyakazi vizuri. Walikimbilia huko na sasa hakuna kinachoenedelea tena. Ikapigiwa kelele kwa kandarasi za Halmashauri ya Temeke DSM. Wakakimbilia huko na kujidai kutibua barabara na sasa kimyaaa!

Takribani kazi nyingi za ujenzi na ukarabati wa barabara za mikoani kila sehemu ni Nyanza. Naomba kufahamu nani anamiliki kampuni hii, ambayo inaonekana kutoguswa na nguvu ya wanasiasa, pamoja na ubora duni wa kazi zao na wingi wa kazi zisizomalizika.

Aliyetangazwa na Jaji Mstaafu Lubuva November 2015 kuwa ndiyo Mshindi wa Kinyang'anyiro cha Keki iliyopo Magogoni Feri.
 
Nyanza ilikuwepo long time. Ofisi zake zilikuwa pale Bwiru kabla hata Mwanza barabara hazina rami. Mbona tunapenda sana umbea bila kufanyia kazi taarifa?
Na wewe ni tatizo la uelewa. Umesoma kilichoandikwa? Pamoja na hayo, kwani kampuni hazibadili wamiliki wake? Tangu hizo enzi bado wamiliki ni hao unaowajua? POle sana!
 
Na wewe ni tatizo la uelewa. Umesoma kilichoandikwa? Pamoja na hayo, kwani kampuni hazibadili wamiliki wake? Tangu hizo enzi bado wamiliki ni hao unaowajua? POle sana!
Watanzania ni watu wenye wivu, wazushi na wafitini. Wengi wetu ni maskini mno sababu ya kufuatilia mambo yasiyo na tija yoyote
 
Back
Top Bottom