YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,036
Lofa huyo apambane na Hali yakeUmaskini hautakaa kutuacha kwa mpango huu wa kuishi kwa majungu na fitna
Lofa huyo apambane na Hali yakeUmaskini hautakaa kutuacha kwa mpango huu wa kuishi kwa majungu na fitna
nyanza road ilikuwepo tangu enzi za nyerere na huyo mnaesema ni mmiliki alikuwa shule anasoma primary :mtakalia maneno hayatakusaidieni
Hayo ni ya kwako. Wewe uliwasajilia hiyo kampuni?Hao ambao majina yao yako Brela huwa ni washika nafasi tu, wenye mali ni hao wanaojiita wasimamia sheria. Mfano mrahisi, huwa unasikia Lowassa ni tajiri, je unajua kampuni yoyote iliyisajiliwa kwa jina lake? Makonda ana matumizi makubwa kuliko mshahara wake, umewahi kujiuliza anafanya biashara gani?
Sasa wewe unachotaka niniHata gazeti la tanzanite ukienda Brela utakuta kampuni inayolimiliki inaonyesha Musiba ni mmiliki!
Wewe ndiyo hujamuelewa. Yeye anaulizia wamiliki Wa Nyanza Road Works. Hajaulizia uhusiano Wa kampuni hiyo na wanasiasaUngekuwa na elimu kidogo, ungegundua kwamba muleta mada hana lengio la kujua jina la mtu. Shida ni uhusiano wa kampuni na wanssiasa. Sijui kwa nini hukusoma kwa uelewa!
Umeulizia BRELA ukaambiwa wamiliki ni nani?Mnapenda sana kukanusha
Ni yangu Mimi YEHODAYA case closed.Wewe ndiyo hujamuelewa. Yeye anaulizia wamiliki Wa Nyanza Road Works. Hajaulizia uhusiano Wa kampuni hiyo na wanasiasa
kucha zakeKwanini ajiangalie?
Wala sio waoga, hao utawasikia baada ya 2025 tutunze kumbukumbu tu, kuna wengine wamebadili mpaka ID humu,sie ndio watanzania bhana.Enzi za JF iliyopelekea cabinet kuvunjwa wangekumwagia data hapa mpaka basi, kwa sasa waoga hadi uvunguni.
Kuhusu nini?Sasa wewe unachotaka nini
Hzo mbinu zilipendwa za kujificha nyuma ya subhashUmeulizia BRELA ukaambiwa wamiliki ni nani?
Kwahiyo kama mmiliki ndio huyu ina maana Jiwe anamuogopa huyu muhindi ,mbona kazi zote anazopewa anavurunda? Jiwe si haogopagi mtu au ? Au anahisa umo? Maana kwa Tanzania hii kampuni zote zenyemapato makubwa zinazomilikiwa na wahindi na waarabu ni za wanasiasa wa ccm .Mmiliki huyu hapaView attachment 1133598
Ukiona mkandarasi kasimama kukamilisha kazi jua tayari hela ya kulipwa haijaiva...don't blame! lami zina madaraja..yawezekana tunatamani kiwango cha juu wakati tumelipia daraja la wastaniKampuni hii inashikilia kiwango kikubwa cha miradi ya makandarasi wazawa ktk ujenzi wa barabara, bila ya kuwa na matokeo mazuri. Kampuni hii ilipigiwa kelele wakati rais akiwa Bunda kwa kutofanyakazi vizuri. Walikimbilia huko na sasa hakuna kinachoenedelea tena. Ikapigiwa kelele kwa kandarasi za Halmashauri ya Temeke DSM. Wakakimbilia huko na kujidai kutibua barabara na sasa kimyaaa!
Takribani kazi nyingi za ujenzi na ukarabati wa barabara za mikoani kila sehemu ni Nyanza. Naomba kufahamu nani anamiliki kampuni hii, ambayo inaonekana kutoguswa na nguvu ya wanasiasa, pamoja na ubora duni wa kazi zao na wingi wa kazi zisizomalizika.
Mkibanwa kwa ushahidi mnakimbiaHzo mbinu zilipendwa za kujificha nyuma ya subhash
NdiyoKuhusu nini?