Nyanza ilikuwepo long time. Ofisi zake zilikuwa pale Bwiru kabla hata Mwanza barabara hazina rami. Mbona tunapenda sana umbea bila kufanyia kazi taarifa?
Ndg unaweza ukawa unahoja lakini kuwafungamanisha watanzania million hamsini katika sifa moja sio sawa. Nnadout na uelewa wakoWatanzania ni watu wenye wivu, wazushi na wafitini. Wengi wetu ni maskini mno sababu ya kufuatilia mambo yasiyo na tija yoyote
wazawa hao shida ikowapi mkuu unataka wapewa wachina tuwalipe kwa dollaNyanza road ilikiwa inapewa shavu tangu magu ni waziri wa ujenzi na hao wahindi ndio walimbeba sana magu toka enzi za njaa kali.sasa ni lazima alipe fadhila. Ila kwenye kazi hawako vibaya, kazi zao nyingi zimetulia.
wazawa hao shida ikowapi mkuu unataka wapewa wachina tuwalipe kwa dollaNyanza road ilikiwa inapewa shavu tangu magu ni waziri wa ujenzi na hao wahindi ndio walimbeba sana magu toka enzi za njaa kali.sasa ni lazima alipe fadhila. Ila kwenye kazi hawako vibaya, kazi zao nyingi zimetulia.
Kuna wengine wanaitwa JASCO ni majanga!!!Kampuni hii inashikilia kiwango kikubwa cha miradi ya makandarasi wazawa ktk ujenzi wa barabara, bila ya kuwa na matokeo mazuri. Kampuni hii ilipigiwa kelele wakati rais akiwa Bunda kwa kutofanyakazi vizuri. Walikimbilia huko na sasa hakuna kinachoenedelea tena. Ikapigiwa kelele kwa kandarasi za Halmashauri ya Temeke DSM. Wakakimbilia huko na kujidai kutibua barabara na sasa kimyaaa!
Takribani kazi nyingi za ujenzi na ukarabati wa barabara za mikoani kila sehemu ni Nyanza. Naomba kufahamu nani anamiliki kampuni hii, ambayo inaonekana kutoguswa na nguvu ya wanasiasa, pamoja na ubora duni wa kazi zao na wingi wa kazi zisizomalizika.
Kumbuka kodi zetu ndo zinalipa hiyo miradi wewe shubhamitiWatanzania ni watu wenye wivu, wazushi na wafitini. Wengi wetu ni maskini mno sababu ya kufuatilia mambo yasiyo na tija yoyote
I hope you are among those 2.8mil tanzanians who pay taxes.Kumbuka kodi zetu ndo zinalipa hiyo miradi wewe shubhamiti
Haya yanayoulizwa hayana tija? ingekuwa ile awamu ya 4, ningekuelewa. Nahisi bado unaamini wizi, misheni town, nk. ndo mambo halali ya maisha na wote wanaofuatilia kuyakataa, wana wivu. Siyo TZ ya leo.Watanzania ni watu wenye wivu, wazushi na wafitini. Wengi wetu ni maskini mno sababu ya kufuatilia mambo yasiyo na tija yoyote
Mifano inayotolewa ni mingine, wewe unatoa mingine. Wakijenga ya Buza ndo kujenga barabara zingine zote?Tunapenda sana kuharibu image za wakandarasi, mbona barabara ya Yombo Buza walijenga vizuri tuu