Nyanza Road works ni kampuni ya nani?

Nyanza Road works ni kampuni ya nani?

Kampuni hii inashikilia kiwango kikubwa cha miradi ya makandarasi wazawa ktk ujenzi wa barabara, bila ya kuwa na matokeo mazuri. Kampuni hii ilipigiwa kelele wakati rais akiwa Bunda kwa kutofanyakazi vizuri. Walikimbilia huko na sasa hakuna kinachoenedelea tena. Ikapigiwa kelele kwa kandarasi za Halmashauri ya Temeke DSM. Wakakimbilia huko na kujidai kutibua barabara na sasa kimyaaa!

Takribani kazi nyingi za ujenzi na ukarabati wa barabara za mikoani kila sehemu ni Nyanza. Naomba kufahamu nani anamiliki kampuni hii, ambayo inaonekana kutoguswa na nguvu ya wanasiasa, pamoja na ubora duni wa kazi zao na wingi wa kazi zisizomalizika.
Mmiliki wake amepanga magogoni
 
Kampuni hii inashikilia kiwango kikubwa cha miradi ya makandarasi wazawa ktk ujenzi wa barabara, bila ya kuwa na matokeo mazuri. Kampuni hii ilipigiwa kelele wakati rais akiwa Bunda kwa kutofanyakazi vizuri. Walikimbilia huko na sasa hakuna kinachoenedelea tena. Ikapigiwa kelele kwa kandarasi za Halmashauri ya Temeke DSM. Wakakimbilia huko na kujidai kutibua barabara na sasa kimyaaa!

Takribani kazi nyingi za ujenzi na ukarabati wa barabara za mikoani kila sehemu ni Nyanza. Naomba kufahamu nani anamiliki kampuni hii, ambayo inaonekana kutoguswa na nguvu ya wanasiasa, pamoja na ubora duni wa kazi zao na wingi wa kazi zisizomalizika.
Ni kampuni ya bosi no 1 mwenyewe, mwenyekiti mwenye serikali yake
 
Acheni uoga na kutisha watu. Mmeshaenda BRELA kuulizia?

Hao ambao majina yao yako Brela huwa ni washika nafasi tu, wenye mali ni hao wanaojiita wasimamia sheria. Mfano mrahisi, huwa unasikia Lowassa ni tajiri, je unajua kampuni yoyote iliyisajiliwa kwa jina lake? Makonda ana matumizi makubwa kuliko mshahara wake, umewahi kujiuliza anafanya biashara gani?
 
NYANZA ROAD WORKS LTD.
Registration Number: C1/0001/1/1998
Managing Director: SUBHASH PATEL
Types of Contractor: CIVIL
Class: 1
Category: Local
Town: MWANZA

Contacts
Postal Address: P. O. BOX 64
Physical Address: 105 BLOCK S, NYERERE ROAD NYERERE ROAD MWANZA
E-mail: nyanza@africaonline.co.tz
Phone: +255 028-2562409/2560963/2541025/2540500

Source: http://crb.go.tz/nyanza-road-works-ltd-0
 
Nyanza ilikuwepo long time. Ofisi zake zilikuwa pale Bwiru kabla hata Mwanza barabara hazina rami. Mbona tunapenda sana umbea bila kufanyia kazi taarifa?
Mkuu kundi letu la vijana lina shida kubwa sana. Badala ya kupambana na hali halisi kujitafutia maisha bora, wivu na ujinga vimetamalaki kwenye mitandao. Mtu akiwa mvivu anadhani kila mtu ni mvivu mwenzake.
 
Mkuu kundi letu la vijana lina shida kubwa sana. Badala ya kupambana na hali halisi kujitafutia maisha bora, wivu na ujinga vimetamalaki kwenye mitandao. Mtu akiwa mvivu anadhani kila mtu ni mvivu mwenzake.

Umaskini hautakaa kutuacha kwa mpango huu wa kuishi kwa majungu na fitna
 
Kampuni hii inashikilia kiwango kikubwa cha miradi ya makandarasi wazawa ktk ujenzi wa barabara, bila ya kuwa na matokeo mazuri. Kampuni hii ilipigiwa kelele wakati rais akiwa Bunda kwa kutofanyakazi vizuri. Walikimbilia huko na sasa hakuna kinachoenedelea tena. Ikapigiwa kelele kwa kandarasi za Halmashauri ya Temeke DSM. Wakakimbilia huko na kujidai kutibua barabara na sasa kimyaaa!

Takribani kazi nyingi za ujenzi na ukarabati wa barabara za mikoani kila sehemu ni Nyanza. Naomba kufahamu nani anamiliki kampuni hii, ambayo inaonekana kutoguswa na nguvu ya wanasiasa, pamoja na ubora duni wa kazi zao na wingi wa kazi zisizomalizika.
Ni kampuni yangu Mimi YEHODAYA
 
Enzi za JF iliyopelekea bunge kuvunjwa wangekumwagia data hapa mpaka basi, kwa sasa waoga hadi uvunguni.

Yes, that is the only way to justify something is incorrect. Data. Sasa hivi kuna uzushi mwingi, hata ukweli haujulikani. Siasa zetu na makundi yamepeleka kupoteza kabisa dhana nzima ya maslahi mapana ya nchi.
 
Back
Top Bottom