Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 6,423
- 8,367
Paka ana majnun huyo........sijapata kuona........
Preta na mimi nimetelekezwa, naomba hifadhi... plz...!!:behindsofa:Paka ana majnun huyo........sijapata kuona........
Preta na mimi nimetelekezwa, naomba hifadhi... plz...!!:behindsofa:
huu urafiki una maslahi upande mmoja.
Haya sio malezi something weird is happening anagalia picha ya mwisho mkono wa nyani na exhaust ya paka! Laana ipo mpaka kwa wanyama siku hizi
Daaaa ila we lijamaa wewe...nimekupigia salute kwa uchunguzi.upo makini sn.ile pekua pekua ya nyani maeneo km yale yanatoa taarifa ya ziada zaidi ya malezi
Preta, Kituo gani tena? cha polisi? Nahitaji mahajun......kama huyo nyau..!!Ngoja nikutafutie kituo nikupeleke...........