Dah! Bado tuna safari ndefu, yaani unakuta kitu kimejifia unakimbilia kitoeo.
Kwa Uislam wameharamishiwa kula kibudu au nyama mfu ila samaki ni halali kama umejua hana sumu iliyomuua au yeye mwenyew siyo.samaki wa sumu.
Dah! Bado tuna safari ndefu, yaani unakuta kitu kimejifia unakimbilia kitoeo.
Dah kitoweo hicho,,,inapendeza unadaka kilo nyingi tia kwenye friji.
wanasema nyangumi anatemaga kitu kinaitwa "ambari" hebu ichekino hyo ina thamani sana
Well said mkuu... Tatizo watanzania tumekuwa wajinga kishabikia mambo ambayo hayahamui hatma ya maisha yetu ya kila siku. Sidhani kama hili la serikali mbili au tatu litaongeza kipato kwa mtanzania wa kawaida zaidi ya hao wanasiasa..
Pia watanzania hatupendi udadisi na kuinvest katika vitu kama hivyo, tunapenda biashara za kuigana na zile zinazotuma faida haraka
Mzee mwezangu ukiokota hii kitu Bhaaaasssss....umetoka hata Bakhresa atakuwa dogo kwako!
Ndo nini hiyo.embu nielekeze nianze michakato mapema ya survey ya location ya kaburi lake.
Mkuu lazima wanyofoe, siunajua washazoea chamaki nchanga!!!!!Baadhi ya wananchi walinadaiwa kuvamia mzogo huo na kunyofoa baadhi ya viungo vyake vinayosadikika kuwaongezea bahati katika maisha.
Mbali na wengine kuvitumia viungo vya mnyama huyo kwa ushirikina inasemekana masharti ya matumizi yake huwapa watu utajiri mkubwa.
Baadhi ya wananchi walinadaiwa kuvamia mzogo huo na kunyofoa baadhi ya viungo vyake vinayosadikika kuwaongezea bahati katika maisha.
Mbali na wengine kuvitumia viungo vya mnyama huyo kwa ushirikina inasemekana masharti ya matumizi yake huwapa watu utajiri mkubwa.
Ndo nini hiyo.embu nielekeze nianze michakato mapema ya survey ya location ya kaburi lake.
mtwara ni mahali penye neema
wanasema nyangumi anatemaga kitu kinaitwa "ambari" hebu ichekino hyo ina thamani sana
Hivi nyangumi ndio anatoa ambari....Manake hadithi za ambari unaweza kukesha pwani unaisubiri ili ujikwamue kiuchumi...
Mzee mwezangu ukiokota hii kitu Bhaaaasssss....umetoka hata Bakhresa atakuwa dogo kwako!