You can see why some us get irritated with the government idea of promoting the nation seasonal blessing to boost tourism internal and abroad; hivi inakuaje wakazi wa Mtwara tu awajui kama kipindi hiki Nyangumi wanakusanyika kwa wingi mafia kwa sababu za uzazi?
Kwa baraka za Tanzania madini ni bonus tu ukubwa wake, urefu wa bahari na mazingira yanaweza toa another perspective of exotic holiday should the government choose to invest, ukijumlisha na ardhi yenye rutuba, vivutio vyawanyama second to none in the world you dont need a magician to tell you what is wrong with this nation its simply a matter of lacking ideas.
mzungu huyo akiogelea na nyangumi Mafia
Island
Mtu unakuja kujua vitu vingi kwa google maana shuleni amfundishwi mambo hayo; kwa mfano didn't know either Tuna wanapatikana Tanzania kwa wingi na wanapenda kuja kuzalia kwenye maji ya mipaka yetu sasa why on earth are we still obsessed with dagaa, hivi tuna mmoja wanakula watu wangapi or how many ways a tuna can be eaten plus business opportunity if you chose to package it for starters it is a favourite fish when it comes to sandwiches, yaani sielewi kwanini tumekazana na habari za katiba badala ya kupigania maendeleo.