Nyangumi afia pwani ya Mtwara

Nyangumi afia pwani ya Mtwara

Ka nyama kake jamani, watu wa Ntwara. Mchile nshaambiwa hiyo n-dudu ina chumu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
. mabeaela ni kweli kabisa mimi mpaka sahvi huwa nasemaga nilikosasa vp hiyo ambari ila kweli ukipata unapiga bao la maana
 
Last edited by a moderator:
Kama unataka kuwa shoga mkuu, basi tafuna nyama ya nyangumi...

Nyama yake huongeza vichocheo vya estrogen na kupunguza kiwango cha uzalishwaji manii...

We ----- kweli wewe estrogen kwenye maziwa hapo?? Ushoga unaanzia kwenye mindset ya mtu. Kama hii yako.
 
We ----- kweli wewe estrogen kwenye maziwa hapo?? Ushoga unaanzia kwenye mindset ya mtu. Kama hii yako.

Yaani umeonesha dhahiri namna ulivyo Mtanzania...

"Mpumbavu hubisha, mjinga hutamani kuelekezwa" - Prof Paramagamba Kabudi
 
Post yako inafikirisha aisee.Ukila samaki,automatically umekula mzoga maana samaki wanakufa wenyewe baada ya kuvuliwa kwenye maji ha ha haa,duh!

Chukulia umetega ndoano asubuhi umerudi nyumbani,umeenda badae umekuta samaki kanasa na amekufa!! Utajua kanasa saa ngapi na amekufa na nini? Jamaa amesema amemvua kwenye nyavu!!
 
Back
Top Bottom